Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Msemaji wa Serikali hajasema ukweli, amesema pensheni zimelipwa tar 22 mwezi huu, watu wameenda Ijumaa tar 24 Benki Hakuna Mafao wala Pensheni.
Watu wote walio staafu mwezi wa 2 mwaka huu hawajapewa hata pensheni wala Mafao sisi ni miongoni, pia kusema mpaka mwezi wa 9 serikali inaendelea kuwalipa ni akina nani hao na sisi tupo hatuja lipwa.
Tukiwa wakweli nchi hii itakuwa na Maendeleo makubwa sana, kuweka siasa kwenye maslahi ya watu binafsi haifai mtaendelea kuwa waongo siku zote.
Nyaraka zilipokelewa mwezi wa 3 PSSSF na wakasema hakuna dosari yoyote ziko sawa hadi leo hamjalipa halafu wewe msemaji wa serikali unasema sio kweli. Sisi ndio wastaafu ndio tunaoongea sio wewe ambaye hujastaafu.
Watu wote walio staafu mwezi wa 2 mwaka huu hawajapewa hata pensheni wala Mafao sisi ni miongoni, pia kusema mpaka mwezi wa 9 serikali inaendelea kuwalipa ni akina nani hao na sisi tupo hatuja lipwa.
Tukiwa wakweli nchi hii itakuwa na Maendeleo makubwa sana, kuweka siasa kwenye maslahi ya watu binafsi haifai mtaendelea kuwa waongo siku zote.
Nyaraka zilipokelewa mwezi wa 3 PSSSF na wakasema hakuna dosari yoyote ziko sawa hadi leo hamjalipa halafu wewe msemaji wa serikali unasema sio kweli. Sisi ndio wastaafu ndio tunaoongea sio wewe ambaye hujastaafu.