Msemaji wa Serikali sema ukweli kuhusu wastaafu umejitetea visivyo na kusema kitu ambacho hakipo

Mung Chris

JF-Expert Member
Sep 12, 2017
3,367
3,778
Msemaji wa Serikali hajasema ukweli, amesema pensheni zimelipwa tar 22 mwezi huu, watu wameenda Ijumaa tar 24 Benki Hakuna Mafao wala Pensheni.

Watu wote walio staafu mwezi wa 2 mwaka huu hawajapewa hata pensheni wala Mafao sisi ni miongoni, pia kusema mpaka mwezi wa 9 serikali inaendelea kuwalipa ni akina nani hao na sisi tupo hatuja lipwa.

Tukiwa wakweli nchi hii itakuwa na Maendeleo makubwa sana, kuweka siasa kwenye maslahi ya watu binafsi haifai mtaendelea kuwa waongo siku zote.

Nyaraka zilipokelewa mwezi wa 3 PSSSF na wakasema hakuna dosari yoyote ziko sawa hadi leo hamjalipa halafu wewe msemaji wa serikali unasema sio kweli. Sisi ndio wastaafu ndio tunaoongea sio wewe ambaye hujastaafu.
 
Msemaji wa Serikali hajasema ukweli, amesema pensheni zimelipwa tar 22 mwezi huu, watu wameenda Ijumaa tar 24 Benki Hakuna Mafao wala Pensheni. Watu wote walio staafu mwezi wa 2 mwaka huu hawajapewa hata pensheni wala Mafao sisi ni miongoni, pia kusema mpaka mwezi wa 9 serikali inaendelea kuwalipa ni akina nani hao na sisi tupo hatuja lipwa.

Tukiwa wakweli nchi hii itakuwa na Maendeleo makubwa sana, kuweka siasa kwenye maslahi ya watu binafsi haifai mtaendelea kuwa waongo siku zote. Nyaraka zilipokelewa mwezi wa 3 PSSSF na wakasema hakuna dosari yoyote ziko sawa hadi leo hamjalipa halafu wewe msemaji wa serikali unasema sio kweli. Sisi ndio wastaafu ndio tunaoongea sio wewe ambaye hujastaafu.
Tuwe wakwwli ama waongo nchi hii haitawahi kuendelea hadi CCM itoke.
 
Ubaya wa nchi hii inaongozwa kwa uongo na kibaya zaidi kurithishana uongo ndio kanuni kuu katika uongozi wao
Huwezi ukamtuhumu kiongozi muongo ikachukuliwa hatua na kiongozi wa juu ambae ndio muongo zaidi.
Hili la wastaafu halina wa kulisemea kabisa na tutabaki kuteseka tu. Hakuna sababu ya mtumishi kustaafu na kusimishiwa mshahara mwezi unaofuata lakini ikashindikana mtu huyo kuingiziwa malipo yake mwezi huo akiwa anasubiri mafao yake.
Labda iundwe taasisi/chama/commission ya kusimamia maswala ya wastaafu.
Waathirika ni wengi
 
Msemaji wa Serikali hajasema ukweli, amesema pensheni zimelipwa tar 22 mwezi huu, watu wameenda Ijumaa tar 24 Benki Hakuna Mafao wala Pensheni. Watu wote walio staafu mwezi wa 2 mwaka huu hawajapewa hata pensheni wala Mafao sisi ni miongoni, pia kusema mpaka mwezi wa 9 serikali inaendelea kuwalipa ni akina nani hao na sisi tupo hatuja lipwa.

Tukiwa wakweli nchi hii itakuwa na Maendeleo makubwa sana, kuweka siasa kwenye maslahi ya watu binafsi haifai mtaendelea kuwa waongo siku zote. Nyaraka zilipokelewa mwezi wa 3 PSSSF na wakasema hakuna dosari yoyote ziko sawa hadi leo hamjalipa halafu wewe msemaji wa serikali unasema sio kweli. Sisi ndio wastaafu ndio tunaoongea sio wewe ambaye hujastaafu.
Mkuu kumbe wewe ni mstaafu !! Ongera sana. Usijali mwaka huu hauishi utakuwa ushalipwa.
 
Ni swali aliulizwa wiki jana akaambiwa alete ufafanuzi, sasa leo kaja na maneno ya ajabu sana sijui nani kamwambia, mara oh nyaraza za wengine hazijakaa sawa mara oh kuna kazi inafanyika, haya sawa ambao nyaraka zao zimekaa sawa si wawalipe. hajui kwenye hizo ofisi tulikagua siku nyingi kutaka kujua kama kuna dosari turekebishe, yeye anakuja na majibu kwamba Tayari wamelipwa na kila mwezi wanalipwa, kichwa chake sikilaumu nalaumu mfumo mzima
Hivi mnapataga wapi muda wa kufuatilia mambo hayo? Mana kazi yake huyo msemaji huwa ni kusifia kila kitu.
 
Msemaji wa Serikali hajasema ukweli, amesema pensheni zimelipwa tar 22 mwezi huu, watu wameenda Ijumaa tar 24 Benki Hakuna Mafao wala Pensheni. Watu wote walio staafu mwezi wa 2 mwaka huu hawajapewa hata pensheni wala Mafao sisi ni miongoni, pia kusema mpaka mwezi wa 9 serikali inaendelea kuwalipa ni akina nani hao na sisi tupo hatuja lipwa.

Tukiwa wakweli nchi hii itakuwa na Maendeleo makubwa sana, kuweka siasa kwenye maslahi ya watu binafsi haifai mtaendelea kuwa waongo siku zote. Nyaraka zilipokelewa mwezi wa 3 PSSSF na wakasema hakuna dosari yoyote ziko sawa hadi leo hamjalipa halafu wewe msemaji wa serikali unasema sio kweli. Sisi ndio wastaafu ndio tunaoongea sio wewe ambaye hujastaafu.
Mifuko ya hifadhi ya bara ina urasimu sana. Nimekua naona wastaafu wa taasisi za Tanzania bara (mf. TRA or migration, ttcl, post office n.k) wanapata sana usumbufu wa kupata stahiki zao. Tofauti na huku Zanzibar.

Yaani wafanyakazi wa taasisi za zanzibar pekee wakistaafu tu na mambo yao from zssf yapo tayari.
 
Msemaji wa Serikali hajasema ukweli, amesema pensheni zimelipwa tar 22 mwezi huu, watu wameenda Ijumaa tar 24 Benki Hakuna Mafao wala Pensheni. Watu wote walio staafu mwezi wa 2 mwaka huu hawajapewa hata pensheni wala Mafao sisi ni miongoni, pia kusema mpaka mwezi wa 9 serikali inaendelea kuwalipa ni akina nani hao na sisi tupo hatuja lipwa.

Tukiwa wakweli nchi hii itakuwa na Maendeleo makubwa sana, kuweka siasa kwenye maslahi ya watu binafsi haifai mtaendelea kuwa waongo siku zote. Nyaraka zilipokelewa mwezi wa 3 PSSSF na wakasema hakuna dosari yoyote ziko sawa hadi leo hamjalipa halafu wewe msemaji wa serikali unasema sio kweli. Sisi ndio wastaafu ndio tunaoongea sio wewe ambaye hujastaafu.
Pole sana mkuu.

Hii kitu Inakera mno. Mie nliona nlipodai fao la uzazi tu psssf story nyingi utasema ile hela wanataka kuila wao.

Sijui inawezakana nihamishe michango yangu kwenda zssf. Mie ni mwajiriwa katika moja wapo ya taasisi za muungano. Nikiona wenzangu wanavopata shida kudai stahiki zao nachoka kabisa
 
Msemaji wa Serikali hajasema ukweli, amesema pensheni zimelipwa tar 22 mwezi huu, watu wameenda Ijumaa tar 24 Benki Hakuna Mafao wala Pensheni. Watu wote walio staafu mwezi wa 2 mwaka huu hawajapewa hata pensheni wala Mafao sisi ni miongoni, pia kusema mpaka mwezi wa 9 serikali inaendelea kuwalipa ni akina nani hao na sisi tupo hatuja lipwa.

Tukiwa wakweli nchi hii itakuwa na Maendeleo makubwa sana, kuweka siasa kwenye maslahi ya watu binafsi haifai mtaendelea kuwa waongo siku zote. Nyaraka zilipokelewa mwezi wa 3 PSSSF na wakasema hakuna dosari yoyote ziko sawa hadi leo hamjalipa halafu wewe msemaji wa serikali unasema sio kweli. Sisi ndio wastaafu ndio tunaoongea sio wewe ambaye hujastaafu.
Alifundishwa uongo na huleeeeeeee
 
Ubaya wa nchi hii inaongozwa kwa uongo na kibaya zaidi kurithishana uongo ndio kanuni kuu katika uongozi wao
Huwezi ukamtuhumu kiongozi muongo ikachukuliwa hatua na kiongozi wa juu ambae ndio muongo zaidi.
Hili la wastaafu halina wa kulisemea kabisa na tutabaki kuteseka tu. Hakuna sababu ya mtumishi kustaafu na kusimishiwa mshahara mwezi unaofuata lakini ikashindikana mtu huyo kuingiziwa malipo yake mwezi huo akiwa anasubiri mafao yake.
Labda iundwe taasisi/chama/commission ya kusimamia maswala ya wastaafu.
Waathirika ni wengi
Anaongea uongo ili kuwafurahisha wakubwa zake ile anonekane ni mtetezi wa wakubwa
 
Msemaji wa Serikali hajasema ukweli, amesema pensheni zimelipwa tar 22 mwezi huu, watu wameenda Ijumaa tar 24 Benki Hakuna Mafao wala Pensheni. Watu wote walio staafu mwezi wa 2 mwaka huu hawajapewa hata pensheni wala Mafao sisi ni miongoni, pia kusema mpaka mwezi wa 9 serikali inaendelea kuwalipa ni akina nani hao na sisi tupo hatuja lipwa.

Tukiwa wakweli nchi hii itakuwa na Maendeleo makubwa sana, kuweka siasa kwenye maslahi ya watu binafsi haifai mtaendelea kuwa waongo siku zote. Nyaraka zilipokelewa mwezi wa 3 PSSSF na wakasema hakuna dosari yoyote ziko sawa hadi leo hamjalipa halafu wewe msemaji wa serikali unasema sio kweli. Sisi ndio wastaafu ndio tunaoongea sio wewe ambaye hujastaafu.
Ni ukweli kabisa hakuna walicholipa mpaka sasa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Msemaji wa Serikali hajasema ukweli, amesema pensheni zimelipwa tar 22 mwezi huu, watu wameenda Ijumaa tar 24 Benki Hakuna Mafao wala Pensheni. Watu wote walio staafu mwezi wa 2 mwaka huu hawajapewa hata pensheni wala Mafao sisi ni miongoni, pia kusema mpaka mwezi wa 9 serikali inaendelea kuwalipa ni akina nani hao na sisi tupo hatuja lipwa.

Tukiwa wakweli nchi hii itakuwa na Maendeleo makubwa sana, kuweka siasa kwenye maslahi ya watu binafsi haifai mtaendelea kuwa waongo siku zote. Nyaraka zilipokelewa mwezi wa 3 PSSSF na wakasema hakuna dosari yoyote ziko sawa hadi leo hamjalipa halafu wewe msemaji wa serikali unasema sio kweli. Sisi ndio wastaafu ndio tunaoongea sio wewe ambaye hujastaafu.
Waliipenda na kuichagua wenyewe hao wastaafu

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Hamisha tu maana ndio utakuwa umepata unafuu vinginevyo mateso makubwa sana
Pole sana mkuu.

Hii kitu Inakera mno. Mie nliona nlipodai fao la uzazi tu psssf story nyingi utasema ile hela wanataka kuila wao.

Sijui inawezakana nihamishe michango yangu kwenda zssf. Mie ni mwajiriwa katika moja wapo ya taasisi za muungano. Nikiona wenzangu wanavopata shida kudai stahiki zao nachoka kabisa
A
 
Pensheni ilitoka tarehe 24/9 mida ya jioni.
Hayo mengine uliyoyaeleza sijayafanyia utafiti wa kuuelewa ukweli wake.
Mkuu wako kasema ilitoka tar 22 wewe unakuja na 24 jioni sasa mnufaika kaenda tar 24 saa 2.30 usiku ATM hajakuta kitu nani muuongo kati yenu na mimi niliyeenda saa 2.30 usiku
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom