Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Kayajibu hayo mara baada ya kutafutwa na mwandishi wa BBC kujua kama serikali nyaraka za makanisa mawili ile ya Katoliki (TEC) na KKKT kama Serikali wanazungumziaje yaliyoanishwa kama wameyachukua na kuyafanyia kazi au la.
Abbasi amejibu nenda ukurasa wangu wa twiter nimeshajibu na katika ukurasa wake imeandikwa hivi "kwa sasa hakuna cha kujibu bali wanawatakia Pasaka njema".
Hii ni dalili ya kiburi cha kulewa madaraka au malaika mkuu katoa direct order. Tutarajie wasiojulikana zaidi kama majibu ya nyaraka hizo.
Haki ya kupata habari haipo walio na madaraka wanaamua watakavyo.
Abbasi amejibu nenda ukurasa wangu wa twiter nimeshajibu na katika ukurasa wake imeandikwa hivi "kwa sasa hakuna cha kujibu bali wanawatakia Pasaka njema".
Hii ni dalili ya kiburi cha kulewa madaraka au malaika mkuu katoa direct order. Tutarajie wasiojulikana zaidi kama majibu ya nyaraka hizo.
Haki ya kupata habari haipo walio na madaraka wanaamua watakavyo.