Wamundemu
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 762
- 458
Kwani we hujui CCM ndiyo chama tawala??Huyu ni msemaji wa ccm sio msemaji wa serikali
Kwani we hujui CCM ndiyo chama tawala??Huyu ni msemaji wa ccm sio msemaji wa serikali
Haishindwi kusema Eid imeletwa na waoAtakua anaenda kuongelea serikali ya jiwe inaleta eid week ijayo
Anataka kusema kwa nini wastaafu hawalipwi, kutangaza kujulikana kwa wasiojulikana, suruhu ya korosho, 1.5tr, Kushuka kwa nauli atcl, kupandishwa madaraja na mishahara wafanyakazi na mengine kama hayo. Na kusisitiza maendeleo hayana chamaMsemaji wa serikali Dr. Hassan Abbas ataongea na waandishi wa habari kesho tarehe 29/05/2019 kesho asubuhi katika kituo cha mikutano cha kimataifa cha julius nyerere
View attachment 1111656lk
Kalale mwana huu muda wakubwa wanavutiana pumzi kwenye JFHhaahhahahaa jamani mnanivunja mbavu mm huku 😂😂😂
Anaenda pindua maamuzi ya body ya ligi.Msemaji wa serikali Dr. Hassan Abbas ataongea na waandishi wa habari kesho tarehe 29/05/2019 kesho asubuhi katika kituo cha mikutano cha kimataifa cha julius nyerere
View attachment 1111656lk
Mheshimiwa Besta Mlagila ,Msemaji wa serikali Dr. Hassan Abbas ataongea na waandishi wa habari kesho tarehe 29/05/2019 kesho asubuhi katika kituo cha mikutano cha kimataifa cha julius nyerere
View attachment 1111656lk
Hawa ma PhD wa siku hizi hawaelewekiMsemaji wa serikali Dr. Hassan Abbas ataongea na waandishi wa habari kesho tarehe 29/05/2019 kesho asubuhi katika kituo cha mikutano cha kimataifa cha julius nyerere
View attachment 1111656lk
Waandishi wavae vitambulisho vya mjasiliamaliMsemaji wa serikali Dr. Hassan Abbas ataongea na waandishi wa habari kesho tarehe 29/05/2019 kesho asubuhi katika kituo cha mikutano cha kimataifa cha julius nyerere
View attachment 1111656lk
Kumpongeza Raisi wetu kwa hotuba nzuri ya kimomboSawa
Tunasubiria kupata habari njema