Besta Mlagila
Senior Member
- May 29, 2018
- 101
- 191
Msemaji wa serikali Dr. Hassan Abbas ataongea na waandishi wa habari kesho tarehe 29/05/2019 kesho asubuhi katika kituo cha mikutano cha kimataifa cha julius nyerere
lk
Mada?Msemaji wa serikali Dr. Hassan Abbas ataongea na waandishi wa habari kesho tarehe 29/05/2019 kesho asubuhi katika kituo cha mikutano cha kimataifa cha julius nyerere
View attachment 1111656lk
Waandishi wa habari wanatakiwa wawe na vitambulisho vya wamachinga-Ali Hapi.Ana lipi la maana sasa waandishi mnatakiwa kupuuza sometimes ujinga wa huyu
Huyu ni msemaji wa ccm sio msemaji wa serikaliMsemaji wa serikali Dr. Hassan Abbas ataongea na waandishi wa habari kesho tarehe 29/05/2019 kesho asubuhi katika kituo cha mikutano cha kimataifa cha julius nyerere
View attachment 1111656lk
Rais kuhutubia kwa kiingereza SAMada?
Rais kuhutubia kwa kiingereza SA
Utasikia tujitokeze kw wingi kumpokea!!! Hahahahaaa Tz!!Rais kuhutubia kwa kiingereza SA
VifungashioMada?
Kutabiri hali ya hewa labda.Sawa
Tunasubiria kupata habari njema
Kutabiri hali ya hewa labda.