peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,798
- 21,395
😏😏😏Msemaji wa ccm
😏😏😏Msemaji wa ccm
Kwasababu anamfurahisha mnoooo mfalme Juh.aSijajua ni kwanini mpaka hivi leo ana Vyeo Viwili cha Ukatibu Mkuu wa Wizara na Msemaji wa Serikali badala ya Mtu mwingine Kuajiriwa pia hapo.
kama kuna mtu huwa hajui anachokifanya ni huyu Habasi,huwa ninajiuliza haka kanafasi ya kuwa spika wa sirikali alipatapatajeHana lolote huyu jamaa
Sababu ni muimba pambio mzuri wa jiweSijajua ni kwanini mpaka hivi leo ana Vyeo Viwili cha Ukatibu Mkuu wa Wizara na Msemaji wa Serikali badala ya Mtu mwingine Kuajiriwa pia hapo.
Hizi sarakasi ni kukaa kimya tu maana hata wao hawana maelezo ndo maana danadana zinakuwa nyingi. Hata yule wa TANAPA ana vyeo viwili utafikiri wenye sifa wameisha nchini.Sijajua ni kwanini mpaka hivi leo ana Vyeo Viwili cha Ukatibu Mkuu wa Wizara na Msemaji wa Serikali badala ya Mtu mwingine Kuajiriwa pia hapo.
Hapo ndo utaona sura halisi ya serekali ya CCM. Huyu mpe yule mruke,....Suala kuongeza ubeti kwenye wimbo wa Taifa hata CCM walishawahi kufanya. Kama Msajiri ataamua kupursue hii kitu, basi na CCM nao waguswe kwa minajiri hiyohiyo
Hana lolote huyu jamaa
kifungu gani cha katiba ulichonukuu ?Wimbo wa Taifa ni miongoni mwa Nembo za Taifa letu la Tanzania.
CHADEMA lazima wawajibishwe na sheria husika katika kuepusha vilaza kama kufanya mambo ya kipuuzi kama hilo la kuongeza ubeti mwingine katika Wimbo wa Taifa letu.
Wasipochukuliwa hatua sitahiki wanaweza siku nyingine watatangaza kugawa nchi yetu.
kifungu gani cha katiba ulichonukuu ?
Wakatafute kazi zingine October Hakuna Kodi za kuchezea Tena, kwann sheria nyingi wakati huu wa uchaguzi.Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako....
Mwanasiasa mahakamani ni sebuleniUtaelewa tu. tuliza siku wakipandishwa kwenye viunga vya Kisutu
Katika kosa la kimataifa litakalo fanywa na viongozi wa ngazi za juu wa ccm ni kutumia kigezo Cha walioshinda Kura za maoni za madiwani na ubunge kupitishwa kupeperusha bendera ya CCM mwaka 2020.Walioshika nafasi zote za juu Kura za maoni ni kundi lililokubalika kwa wajumbe wachache ndani ya CCM kupitia kutoa rushwa na kushinda kura za maoni ,wakipitishwa kugombea na upinzani litakuwa kosa la kihistoria katika uchaguzi mkuu ujao ndani ya CCM.