Msemaji wa Magereza aanika sababu Makada wa CHADEMA kuzuiwa kumuona Mbowe

Dar es Salaam. Baadhi ya makada wa Chadema waliofika kumuona Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe juzi katika gereza Ukonga jijini Dar es Salaam, hawakutimiza lengo lao baada ya askari Magereza waliokuwa getini kuwazuia wakisema kuwa wamepata maelekezo kutoka juu.

Hata hivyo, Msemaji wa Magereza Kamishna Msaidizi, Justin Kaziulaya alipoulizwa kwa simu jana alikiri kuwazuia akisema ni kutokana na idadi yao kuwa kubwa jambo alilosema linaakiuka masharti ya kupambana na maambukizo ya Uviko-19.

“Ukiangalia kwa haraka haraka picha za watu walioenda kumuona Mbowe jana, Mkuu wa Gereza alikuwa anatekeleza maagizo ambayo yanafuatwa kwa magereza yote nchini na sio kwa mhalifu fulani,” alisema.

Mbowe alikamatwa Julai 30 jijini Mwanza na kuunganishwa na wenzake watatu katika kesi inayohusisha kupanga njama za kufanya ugaidi inayoendelea kusikilizwa na Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia taarifa hizo kwa simu, Mkurugenzi wa Uhusiano, Itifaki na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema alisema hatua ya kuwazuia kumwona Mwenyekiti wao inazua hofu kuhusu hali yake.

“Walisema kuwa wanaoruhusiwa ni wenye vibali tu, jambo ambalo sio sahihi kwani siku za mwisho mwa juma na sikukuu ni siku ya kutembelea wafungwa na mahabusu.

“Wenye vibali wanaweza kwenda siku yoyote kama ambavyo Mawakili wanaweza kwenda Gerezani siku yoyote,” alisema.

Mrema aliwataja waliozuiwa ni John Heche, Julius Mwita na wagombea Ubunge wa mwaka 2020 kutoka majimbo mbalimbali nchini na wanachama wengine wa Mkoa wa Dar es Salaam na hata walipoomba kumuona Mkuu wa gereza hawakufanikiwa kwa hoja kwamba yuko kwenye kikao.

Alisema iliwafanya kukaa pale mpaka mchana na kulazimika kuondoka bila kumuona.

Mwananchi
Hata aibu hawana? Kama idadi ilizidi si wangeruhusu wachache?

Amandla...
 
Hata ningekuwa mimi ndio nalinda Magereza nisinge ruhusu watu kujazana.....eti kumuona mtuhumiwa, kwani magereza imekuwa Hospitalini?!

Magereza ni sehemu nyeti sana lazima iwe na mipaka na masharti bila kujali nani atasema nini! Hiyo ni sehemu inayo hifadhi wahalifu wa kila aina hivyo usalama wa magereza ni muhimu zaidi kuliko vikundi vinavyo enda kumuona mbowe.

Lazima magereza wawe imara, kamwe wasikubali hawa watu/vikundi wakapanda kichwani, ni hatari. Sio mbowe tu aliyepo hapo magereza wapo wengi, hivyo lazima utaratibu uzingatiwe sawa kwa wote.
Kama idadi ni tatizo, unashindwa nini kuwaambia waingie kwa zamu kwa muda utakaowapa? Wao wanachotaka ni kumuona Mwenyekiti wao na si kingine.

Amandla...
 
Dar es Salaam. Baadhi ya makada wa Chadema waliofika kumuona Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe juzi katika gereza Ukonga jijini Dar es Salaam, hawakutimiza lengo lao baada ya askari Magereza waliokuwa getini kuwazuia wakisema kuwa wamepata maelekezo kutoka juu.

Hata hivyo, Msemaji wa Magereza Kamishna Msaidizi, Justin Kaziulaya alipoulizwa kwa simu jana alikiri kuwazuia akisema ni kutokana na idadi yao kuwa kubwa jambo alilosema linaakiuka masharti ya kupambana na maambukizo ya Uviko-19.

“Ukiangalia kwa haraka haraka picha za watu walioenda kumuona Mbowe jana, Mkuu wa Gereza alikuwa anatekeleza maagizo ambayo yanafuatwa kwa magereza yote nchini na sio kwa mhalifu fulani,” alisema.

Mbowe alikamatwa Julai 30 jijini Mwanza na kuunganishwa na wenzake watatu katika kesi inayohusisha kupanga njama za kufanya ugaidi inayoendelea kusikilizwa na Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia taarifa hizo kwa simu, Mkurugenzi wa Uhusiano, Itifaki na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema alisema hatua ya kuwazuia kumwona Mwenyekiti wao inazua hofu kuhusu hali yake.

“Walisema kuwa wanaoruhusiwa ni wenye vibali tu, jambo ambalo sio sahihi kwani siku za mwisho mwa juma na sikukuu ni siku ya kutembelea wafungwa na mahabusu.

“Wenye vibali wanaweza kwenda siku yoyote kama ambavyo Mawakili wanaweza kwenda Gerezani siku yoyote,” alisema.

Mrema aliwataja waliozuiwa ni John Heche, Julius Mwita na wagombea Ubunge wa mwaka 2020 kutoka majimbo mbalimbali nchini na wanachama wengine wa Mkoa wa Dar es Salaam na hata walipoomba kumuona Mkuu wa gereza hawakufanikiwa kwa hoja kwamba yuko kwenye kikao.

Alisema iliwafanya kukaa pale mpaka mchana na kulazimika kuondoka bila kumuona.

Mwananchi
Wengi! Hawagawanyiki? Wakiwa wengi hairuhusiwi hata mtu mmoja kuingia? Jumamosi jioni walisema tishio la Corona! CCM imeshindwa kuiendeleza nchi kwa sababu ya kuhangaika na vitu vya kipuuzi visivyo na tija.
 
Dar es Salaam. Baadhi ya makada wa Chadema waliofika kumuona Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe juzi katika gereza Ukonga jijini Dar es Salaam, hawakutimiza lengo lao baada ya askari Magereza waliokuwa getini kuwazuia wakisema kuwa wamepata maelekezo kutoka juu.

Hata hivyo, Msemaji wa Magereza Kamishna Msaidizi, Justin Kaziulaya alipoulizwa kwa simu jana alikiri kuwazuia akisema ni kutokana na idadi yao kuwa kubwa jambo alilosema linaakiuka masharti ya kupambana na maambukizo ya Uviko-19.

“Ukiangalia kwa haraka haraka picha za watu walioenda kumuona Mbowe jana, Mkuu wa Gereza alikuwa anatekeleza maagizo ambayo yanafuatwa kwa magereza yote nchini na sio kwa mhalifu fulani,” alisema.

Mbowe alikamatwa Julai 30 jijini Mwanza na kuunganishwa na wenzake watatu katika kesi inayohusisha kupanga njama za kufanya ugaidi inayoendelea kusikilizwa na Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia taarifa hizo kwa simu, Mkurugenzi wa Uhusiano, Itifaki na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema alisema hatua ya kuwazuia kumwona Mwenyekiti wao inazua hofu kuhusu hali yake.

“Walisema kuwa wanaoruhusiwa ni wenye vibali tu, jambo ambalo sio sahihi kwani siku za mwisho mwa juma na sikukuu ni siku ya kutembelea wafungwa na mahabusu.

“Wenye vibali wanaweza kwenda siku yoyote kama ambavyo Mawakili wanaweza kwenda Gerezani siku yoyote,” alisema.

Mrema aliwataja waliozuiwa ni John Heche, Julius Mwita na wagombea Ubunge wa mwaka 2020 kutoka majimbo mbalimbali nchini na wanachama wengine wa Mkoa wa Dar es Salaam na hata walipoomba kumuona Mkuu wa gereza hawakufanikiwa kwa hoja kwamba yuko kwenye kikao.

Alisema iliwafanya kukaa pale mpaka mchana na kulazimika kuondoka bila kumuona.

Mwananchi
Mi taasisi ya kisen ....kichwani mipunguani.....Mungu anaendelea nao......muda si mrefu ATAANZA kuwatwaa
 
Hata ningekuwa mimi ndio nalinda Magereza nisinge ruhusu watu kujazana.....eti kumuona mtuhumiwa, kwani magereza imekuwa Hospitalini?!

Magereza ni sehemu nyeti sana lazima iwe na mipaka na masharti bila kujali nani atasema nini! Hiyo ni sehemu inayo hifadhi wahalifu wa kila aina hivyo usalama wa magereza ni muhimu zaidi kuliko vikundi vinavyo enda kumuona mbowe.

Lazima magereza wawe imara, kamwe wasikubali hawa watu/vikundi wakapanda kichwani, ni hatari. Sio mbowe tu aliyepo hapo magereza wapo wengi, hivyo lazima utaratibu uzingatiwe sawa kwa wote.
Kachukue 7000/- kwa amani
 
Idadi ya waliokwenda kumuona ni wangapi ? na inaruhusiwa kivipi anaweza kuonana na kundi labda la watu zaidi ya watano ,hamsini au mia maana kama wangejipanga japo wanne wanne ingefaa,ila kama mpo watu mia naona hapo si kumuona ni kufanya mkutano.
 
Dar es Salaam. Baadhi ya makada wa Chadema waliofika kumuona Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe juzi katika gereza Ukonga jijini Dar es Salaam, hawakutimiza lengo lao baada ya askari Magereza waliokuwa getini kuwazuia wakisema kuwa wamepata maelekezo kutoka juu.

Hata hivyo, Msemaji wa Magereza Kamishna Msaidizi, Justin Kaziulaya alipoulizwa kwa simu jana alikiri kuwazuia akisema ni kutokana na idadi yao kuwa kubwa jambo alilosema linaakiuka masharti ya kupambana na maambukizo ya Uviko-19.

“Ukiangalia kwa haraka haraka picha za watu walioenda kumuona Mbowe jana, Mkuu wa Gereza alikuwa anatekeleza maagizo ambayo yanafuatwa kwa magereza yote nchini na sio kwa mhalifu fulani,” alisema.

Mbowe alikamatwa Julai 30 jijini Mwanza na kuunganishwa na wenzake watatu katika kesi inayohusisha kupanga njama za kufanya ugaidi inayoendelea kusikilizwa na Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia taarifa hizo kwa simu, Mkurugenzi wa Uhusiano, Itifaki na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema alisema hatua ya kuwazuia kumwona Mwenyekiti wao inazua hofu kuhusu hali yake.

“Walisema kuwa wanaoruhusiwa ni wenye vibali tu, jambo ambalo sio sahihi kwani siku za mwisho mwa juma na sikukuu ni siku ya kutembelea wafungwa na mahabusu.

“Wenye vibali wanaweza kwenda siku yoyote kama ambavyo Mawakili wanaweza kwenda Gerezani siku yoyote,” alisema.

Mrema aliwataja waliozuiwa ni John Heche, Julius Mwita na wagombea Ubunge wa mwaka 2020 kutoka majimbo mbalimbali nchini na wanachama wengine wa Mkoa wa Dar es Salaam na hata walipoomba kumuona Mkuu wa gereza hawakufanikiwa kwa hoja kwamba yuko kwenye kikao.

Alisema iliwafanya kukaa pale mpaka mchana na kulazimika kuondoka bila kumuona.

Mwananchi
Hizi bangi hizi,maambukizi ya COVID 19!!huyu mbwiga yupo nchi gani?
Haoni watu wanaojazana kwenye uwanja wa Mpira kuangalia Simba na yanga?
Je vipi juzi pale mkoa wa pwani kwenye sikukuu ya wanawake
 
Idadi ya waliokwenda kumuona ni wangapi ? na inaruhusiwa kivipi anaweza kuonana na kundi labda la watu zaidi ya watano ,hamsini au mia maana kama wangejipanga japo wanne wanne ingefaa,ila kama mpo watu mia naona hapo si kumuona ni kufanya mkutano.
Kwani watu huwa wanakubaliana kwa pamoja kwenda kumuona mgonjwa? Wakifika hospitali si ndio wanapewa utaratibu wa kuingia kumuona mgonjwa? Sijawahi kusikia hospitali ikikataza watu kumuona mgonjwa wao kwa sababu wako wengi. Hata ICU ni hivyo hivyo. Na kwa Mbowe ni hivyo hivyo. Watu wanaamua kwa utashi wao kwenda kumtembelea siku iliyotengwa kwa ajili ya wageni. Hawa wa Magereza walishindwa nini kupanga utaratibu kama wa wenzao mahospitalini mpaka wakaamua kuzuia kila mtu?

Amandla...
 
Wengi! Hawagawanyiki? Wakiwa wengi hairuhusiwi hata mtu mmoja kuingia? Jumamosi jioni walisema tishio la Corona! CCM imeshindwa kuiendeleza nchi kwa sababu ya kuhangaika na vitu vya kipuuzi visivyo na tija.
Una umri gani tuanzie hapo kwanza
 
Dar es Salaam. Baadhi ya makada wa Chadema waliofika kumuona Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe juzi katika gereza Ukonga jijini Dar es Salaam, hawakutimiza lengo lao baada ya askari Magereza waliokuwa getini kuwazuia wakisema kuwa wamepata maelekezo kutoka juu.

Hata hivyo, Msemaji wa Magereza Kamishna Msaidizi, Justin Kaziulaya alipoulizwa kwa simu jana alikiri kuwazuia akisema ni kutokana na idadi yao kuwa kubwa jambo alilosema linaakiuka masharti ya kupambana na maambukizo ya Uviko-19.

“Ukiangalia kwa haraka haraka picha za watu walioenda kumuona Mbowe jana, Mkuu wa Gereza alikuwa anatekeleza maagizo ambayo yanafuatwa kwa magereza yote nchini na sio kwa mhalifu fulani,” alisema.

Mbowe alikamatwa Julai 30 jijini Mwanza na kuunganishwa na wenzake watatu katika kesi inayohusisha kupanga njama za kufanya ugaidi inayoendelea kusikilizwa na Mahakama Kuu Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia taarifa hizo kwa simu, Mkurugenzi wa Uhusiano, Itifaki na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema alisema hatua ya kuwazuia kumwona Mwenyekiti wao inazua hofu kuhusu hali yake.

“Walisema kuwa wanaoruhusiwa ni wenye vibali tu, jambo ambalo sio sahihi kwani siku za mwisho mwa juma na sikukuu ni siku ya kutembelea wafungwa na mahabusu.

“Wenye vibali wanaweza kwenda siku yoyote kama ambavyo Mawakili wanaweza kwenda Gerezani siku yoyote,” alisema.

Mrema aliwataja waliozuiwa ni John Heche, Julius Mwita na wagombea Ubunge wa mwaka 2020 kutoka majimbo mbalimbali nchini na wanachama wengine wa Mkoa wa Dar es Salaam na hata walipoomba kumuona Mkuu wa gereza hawakufanikiwa kwa hoja kwamba yuko kwenye kikao.

Alisema iliwafanya kukaa pale mpaka mchana na kulazimika kuondoka bila kumuona.

Chanzo: Mwananchi
Alaaniwe na uzao wake uyo wa magereza afe amfuate jiwe pumbavu
 
Back
Top Bottom