Msemaji wa Serikali anaandika kwenye ukurasa wake wa twitter
Taarifa ya awali: Hii habari ni potofu, iliyokosa weledi kiuchumi na kiuandishi. Wakati BoT wanaandaa ufafanuzi wa kina tuipuuze.
Habari anayoizungumzia ni ile iliyowekwa na akaunti ya mwananchi ikisema:- "Kwa robo ya kwanza mwaka huu, Deni la Taifa limeongezeka kwa zaidi ya Sh. 12 Trilioni na kufikia takribani sh 60 trilioni, Ripoti ya Benki Kuu inaonesha"
Pia soma > Kafulila: Kwa mujibu wa Benki Kuu (BoT), deni la taifa limeongezeka kwa trilioni 3 sio trilioni 12
Taarifa ya awali: Hii habari ni potofu, iliyokosa weledi kiuchumi na kiuandishi. Wakati BoT wanaandaa ufafanuzi wa kina tuipuuze.
Habari anayoizungumzia ni ile iliyowekwa na akaunti ya mwananchi ikisema:- "Kwa robo ya kwanza mwaka huu, Deni la Taifa limeongezeka kwa zaidi ya Sh. 12 Trilioni na kufikia takribani sh 60 trilioni, Ripoti ya Benki Kuu inaonesha"
Pia soma > Kafulila: Kwa mujibu wa Benki Kuu (BoT), deni la taifa limeongezeka kwa trilioni 3 sio trilioni 12