Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
1. TRA et al, kumdai kodi ya kupanga kwa jengo ambalo kimsingi amelinunua.
2. Kuvunjwa kwa Bilcanas club
3. DAB kumtaja katika list ya watumiaji madawa ya kulevya.
4. Kufanyiwa upekuzi nyumbani
5. Kuharibiwa mashamba yake kule Hai
6. Wabunge wake kufungwa na Lissu kupigwa risasi 38
6.Kunyimwa dhamana kubambikiwa kesi ya uasi na kesi zingine 8.