kwani meleta ngapi au ndio hizi mnanunulia wapinzani?Toka mwaka huo ruzuku za chama hazijulikani zinafanyakazi gani
Mbivu na mbichi zitajulikana, kwani siasa za majukwaani na vyombo vya habari hazina tija kwa maendeleo ya nchi zaidi ya kufitinisha jamii, wakidhani wanajijenga kisiasa.kwani meleta ngapi au ndio hizi mnanunulia wapinzani?
Rubbish,karukaruka sana huyo jamaa yako,hatimaye kanasa,ndege mjanja hunasa tundu bovuView attachment 729606
1. TRA et al, kumdai kodi ya kupanga kwa jengo ambalo kimsingi amelinunua.
2. Kuvunjwa kwa Bilcanas club
3. DAB kumtaja katika list ya watumiaji madawa ya kulevya.
4. Kufanyiwa upekuzi nyumbani
5. Kuharibiwa mashamba yake kule Hai
6. Wabunge wake kufungwa na Lissu kupigwa risasi 38
6.Kunyimwa dhamana kubambikiwa kesi ya uasi na kesi zingine 8.
Mfungeni maisha kabisa ili mfurahi zaidiRubbish,karukaruka sana huyo jamaa yako,hatimaye kanasa,ndege mjanja hunasa tundu bovu
Kwa mtizamo wako unaona anatendewa na haki?Kiongozi yeyote wa Upinzani ambae chama chake kitakuwa tishio kwa ccm lazima asumbuliwe na serikali.Kabla ya kuunyooshea kidole cha lawama Serikali, Mh Mbowe yabidi ajitathmini jinsi anavyoendesha siasa. Kama anaiheshimu Katiba ya JMT (1977) na ya chana chake cha CHADEMA, ambako yeye ni M/Kiti, anapaswa kutambua kuwa hakuna mtu aliye juu ya sheria.