mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
tatizo mukama nae kazubaa sana..nape kaona chama kinadhoofika kazi ambayo alikua afanye katibu mkuu ameona haifanyi sijui ni uzee au vipi na nape ccm damu kaona upuuzi kaamua kuingia mtaani mwenyewe kaongea na mzee ruksa jnr(JK), na si mnajua JK hajui kusema NO na pia JK anathamini vijana kuliko wazee ka akina mukama....sasa tatizo liko wapi...mukama kachoka apigwe chini waweke fresh blood anakula tu mshahara wa bure