Msekwa na kutoshindwa CCM.

MotoYaMbongo

JF-Expert Member
Jan 7, 2008
2,146
884
Eti pius msekwa anasema CCM haiwezi kushindwa, akumbuke kuwa Moi alisema kuwa KANU haitaondoka madarakani hadi baada ya miaka 100, lakini anajua kilichotokea. Tanzania ya leo si ya zamani, na CCM ya leo si ya Nyerere.
 
Eti pius msekwa anasema CCM haiwezi kushindwa, akumbuke kuwa Moi alisema kuwa KANU haitaondoka madarakani hadi baada ya miaka 100, lakini anajua kilichotokea. Tanzania ya leo si ya zamani, na CCM ya leo si ya Nyerere.
Kila masika ina mbu wake. Alikua sahihi wkt huo (2008) kwani ni kweli ccm imeendelea kubaki madarakani hadi leo. Lakini labda unijibu swali kwamba ulisikia wapi Jenerali akawaambia wafuasi wake kuwa watashindwa vita huku wakaendelea na mapambano?
 
Back
Top Bottom