Mati Mkenda
Senior Member
- Mar 4, 2018
- 171
- 211
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Pius Msekwa amesema kuwa Membe asijione kuwa yeye ni maalum sana, bali anapaswa kufuata taratibu zote ambazo wenzake waliofukuzwa kabla yake wanazifuata.
Amesema Membe siyo mtu wa kwanza kufukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu kwani kuna watu waliofukuzwa kabla yake wakewemo Maalim Seif na Oscar Kambona ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Amesema kuna kanuni zinazoongoza chama, ambazo ziko wazi kabisa na kila mtu anajua kuwa iwapo hatazifuata basi atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.
Amedai kuwa kanuni zilezile zilizotumika kuwafukuza wengine, ndizo hizo zilizotumika kumfukuza yeye, hivyo hakuna jipya linalopaswa kuongelewa sana kwa sasa haoni umaalum wote wa Membe kama ambavyo waandishi wa habari wanataka kumpa.
MY TAKE
Mzee Msekwa katoa ufafanuzi mzuri sana kwani wengi wameona issue ya Membe kama kubwa kuzidi zilizopita. Membe hajawa Kiongozi Mkubwa ndani ya Chama kama ilivyokuwa kwa Kambona hivyo hana umaalum wowote. Isitoshe yeye mwenyewe anasema alijua atafukuzwa, so kanuni zipo wazi kama Msekwa alivyosema. Serikali imwangalie tu kwa jicho la tatu maana yawezekana alifanya hivyo ili apate sababu ya kuingia msituni kwa ufadhili wa mabeberu wanaompa kichwa.
Amesema Membe siyo mtu wa kwanza kufukuzwa kutokana na utovu wa nidhamu kwani kuna watu waliofukuzwa kabla yake wakewemo Maalim Seif na Oscar Kambona ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM. Amesema kuna kanuni zinazoongoza chama, ambazo ziko wazi kabisa na kila mtu anajua kuwa iwapo hatazifuata basi atachukuliwa hatua kali za kinidhamu.
Amedai kuwa kanuni zilezile zilizotumika kuwafukuza wengine, ndizo hizo zilizotumika kumfukuza yeye, hivyo hakuna jipya linalopaswa kuongelewa sana kwa sasa haoni umaalum wote wa Membe kama ambavyo waandishi wa habari wanataka kumpa.
MY TAKE
Mzee Msekwa katoa ufafanuzi mzuri sana kwani wengi wameona issue ya Membe kama kubwa kuzidi zilizopita. Membe hajawa Kiongozi Mkubwa ndani ya Chama kama ilivyokuwa kwa Kambona hivyo hana umaalum wowote. Isitoshe yeye mwenyewe anasema alijua atafukuzwa, so kanuni zipo wazi kama Msekwa alivyosema. Serikali imwangalie tu kwa jicho la tatu maana yawezekana alifanya hivyo ili apate sababu ya kuingia msituni kwa ufadhili wa mabeberu wanaompa kichwa.