Msekela anateswa na nyoka katika nyumba yake

Mongoiwe

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
524
263
Kwa wakazi wa Mkoa wa Mwanza: je, ni kweli Mkuu wa mkoa wa Mwanza Dr. Alex James Msekela(Pia Mbunge wa Tabora Kaskazini), kuwa wamekuwa wakisumbuliwa na nyoka katika nyumba yake. Inadaiwa kuwa usiku amekuwa akishindwa kulala yeye na familia yeke na hali imekuwa mbaya kiasi cha kula chakula wakiwa wameweka miguu juu ya meza wakiogopa nyoka hao.
 
Mkuu wa mkoa wa anaishi kwenye kilima hivi na huo mlima umezungukwa na miti mingi sana, ni kama msitu hivi na unapendeza kwakweli na ukifika kule kwake kuna mandhari zuri tu na ulinzi wa kutosha. Sijawahi kusikia habari za nyoka kuingia ndani, yawezekana wapo kwa sababu ya hayo mazingira niliyoeleza hapo juu. Ninachokiona pale labda ndege kuna ndege fulani hivi wanachafua mzingira ile mbaya, wapo upande mmoja wa mlima ile miti yote imekuwa miupee
 
Mkuu wa mkoa wa anaishi kwenye kilima hivi na huo mlima umezungukwa na miti mingi sana, ni kama msitu hivi na unapendeza kwakweli na ukifika kule kwake kuna mandhari zuri tu na ulinzi wa kutosha. Sijawahi kusikia habari za nyoka kuingia ndani, yawezekana wapo kwa sababu ya hayo mazingira niliyoeleza hapo juu. Ninachokiona pale labda ndege kuna ndege fulani hivi wanachafua mzingira ile mbaya, wapo upande mmoja wa mlima ile miti yote imekuwa miupee

Tatizo la jamii zetu zimegubikwa na imani zisizo na vichwa wala miguu....ni ajabu kama mtu unaishi jirani na msitu alafu ukiona viumbe wengine unachanganyikiwa ili hali wewe ndio upo jirani na makazi yao.
 
Back
Top Bottom