Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeukata mzizi wa fitna!!Ametaja kipengere husika lakini hajakosea kabisa. Mtumishi yeyote wa serikali anatekeleza sera na ilani ya chama kilichopo madarakani. Hii ni kwa mujibu wa Kanuni za Utumishi wa Umma na Code of Ethics and Conduct for Public Service chini ya kipengere kinachohusu "Loyalty to the Government" subsections:
1. Public Servants shall be loyal to the duly constituted government of the day
2 " Public servant shall therefore implement policies and lawful instructions given by their Ministers and other government leaders"Ndio maana serikali inapochemsha watu wanakilaumu Chama cha Mapinduzi
Wandugu nimeona news muda huu na nimemsikia Msechu anasema kwa kusisitiza anasema ayafanyao yeye huko NHC anatekeleza ilani ya CCM.
Kindly guys help me to understand, hii imekaaje?
Mzizi wa fitna uanze kukatwa kwa kina Lowassa,Chenge,Jairo,LuhanjoSumaye,Mkapa,Shimbo,Riziwani etc.Umeukata mzizi wa fitna!!
Hapo nimekuelewa. kwa hiyo imekaa kisheria zaidi? Kwa hiyo hata mbunge kama mch. msigwa hapa iringa anatekeleza sera za chama cha mapinduzi?Ametaja kipengere husika lakini hajakosea kabisa. Mtumishi yeyote wa serikali anatekeleza sera na ilani ya chama kilichopo madarakani. Hii ni kwa mujibu wa Kanuni za Utumishi wa Umma na Code of Ethics and Conduct for Public Service chini ya kipengere kinachohusu "Loyalty to the Government" subsections:
1. Public Servants shall be loyal to the duly constituted government of the day
2 " Public servant shall therefore implement policies and lawful instructions given by their Ministers and other government leaders"Ndio maana serikali inapochemsha watu wanakilaumu Chama cha Mapinduzi
Ametaja kipengere husika lakini hajakosea kabisa. Mtumishi yeyote wa serikali anatekeleza sera na ilani ya chama kilichopo madarakani. Hii ni kwa mujibu wa Kanuni za Utumishi wa Umma na Code of Ethics and Conduct for Public Service chini ya kipengere kinachohusu "Loyalty to the Government" subsections:
1. Public Servants shall be loyal to the duly constituted government of the day
2 " Public servant shall therefore implement policies and lawful instructions given by their Ministers and other government leaders"Ndio maana serikali inapochemsha watu wanakilaumu Chama cha Mapinduzi
Ametaja kipengere husika lakini hajakosea kabisa. Mtumishi yeyote wa serikali anatekeleza sera na ilani ya chama kilichopo madarakani. Hii ni kwa mujibu wa Kanuni za Utumishi wa Umma na Code of Ethics and Conduct for Public Service chini ya kipengere kinachohusu "Loyalty to the Government" subsections:
1. Public Servants shall be loyal to the duly constituted government of the day
2 " Public servant shall therefore implement policies and lawful instructions given by their Ministers and other government leaders"Ndio maana serikali inapochemsha watu wanakilaumu Chama cha Mapinduzi
hapo kwenye red anaitwa Mchechu sio Msechu, msechu ni mwanamuziki aliyeshiriki Tusker firm. kuhusu yeye kutekelezwa ilani ya ccm hiyo ni kweli kabisa kwani kwa mujibu wa kanuni na taratibu za utumishi wa umma; watumishi wa umma watatekeleza sera, mipango na mikakati ya serikali ilyopo madarakani. nafikiri kila mtu anajua wazi kwamba serikali iliyopo madarakani ni ya chama cha mapinduzi, ambayo ina ilani yake ya uchaguzi, ndani ya ilani hiyo tukapata mipango mbalimbali, na kwenye mipango hiyo tukapata mikakati mabalimbali ambayo inatekelezwa katika nyanja mbalimbali. upo hapo mkuu?Wandugu nimeona news muda huu na nimemsikia Msechu anasema kwa kusisitiza anasema ayafanyao yeye huko NHC anatekeleza ilani ya CCM.
Kindly guys help me to understand, hii imekaaje?