MSD kuna wizi wa madawa na vifaa tiba unaofanyika wilayani Serengeti (Mugumu)

canular

JF-Expert Member
Jan 7, 2018
858
813
Wakuu bila Shaka wote muwazima ,naomba niende moja Kwa moja ktk mada husika, jaman MSD fuatilieni hili suala.

Iko hivi hapa Serengeti kuna Mzee mmoja ni pharmacia wa Wilaya, akiwa na timu yake huyu Mzee amefungua famasi nyingi tu za kutosha sasa basi amekuwa akichukua dawa na vifaa tiba kutoka MSD na kuvifanyia biashara ikiwemo, magodoro ya hospital, dawa kama artesunate inakwanguliwa maandishi yote ya not for sale alafu inauzwa kama kawaida.

Ni kwamba vitu ni vingi anavyoiba huyu mzee anajiita Nyabutika (jb) pia kuna AC imefungwa pale duka lake kubwa linaloitwa green light pharmacy ni mali ya serikali ile nayo amehujumu na kingine kwakuwa ana mamlaka anafungia wafanyabiashara ya madawa kwa kivuli kuwa hayana vigezo alafu anafungua maduka yake, fuatilia mji mzima wa Mugumu ni yeye ndio mwenye duka kila kona ya mji watu wamekosa pa kusemea.

Kwa sababu Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi amewaweka kiganjani unaambiwa imeshatolewa amri Mkuu wa Wilaya au Mkurugenzi wakifika pale wapewe huduma yoyote wanayohitaji bure kabisa pasipo kulipizwa hela yoyote ndio maana anakuwa na kiburi na wizi wa mali za umma na pia ofisini hakai muda mwingi yupo kwenye maduka yake unakuta mtu unatoka kijijini mbali kwenda kuchukua dawa na vifaa vinavyohitajika kituoni kwako ukifika hukuti mtu alafu ukimpigia simu aje kukupa vifaa vinavyohitajika kituoni anakujibu hovyo. Suala jingine upande wa bima nao anahusika yeye pia

Mzee huyu achunguzwe tatizo wakaguzi mkienda huwa mnapewa maneno na virushwa ila hamchunguzi inavyotakiwa mkitaka kujua maozo ya huyu Mzee nendeni kila duka lake lilipo mfanye ukaguzi wa maana na msisahau kwenda kwenye godown yake anayotunzia madawa mtabaini mengi. Jamani wahusika wa MSD fuatilieni hili mnawaumiza wana Serengeti mnaleta madawa wenye mamlaka zao wanachukua na kuyaweka kwenye biashara zao.

Sorry kwa atakaye kwazika Ila ukweli ndio huo ana maduka mpaka kijiji kimoja kinaitwa natta kule kuna magodoro Mali ya serikali yametunzwa tu ndani
 
Umesema huyo mzee ni mfamasia wa Wilaya, kwa hiyo anagawa Dawa na Vifaa Tiba katika vituo vya Afya Wilayani?
 
Nimeangalia huu uzi ni wa mwaka gani siku hizi kuiba dawa za serikali vigumu sana, hata kidonge cha piriton na udogo wake kina nembo ya GoT, mkuu tunaomba uthibitisho vinginevyo ni majungu, dawa na vifaatiba vya serikali zamani tulikuwa tunabandua lebo au kuhamishia kwwnye kopo jingine sasa hivi huo ujanja hakina tena!
 
Nimeangalia huu uzi ni wa mwaka gani siku hizi kuiba dawa za serikali vigumu sana, hata kidonge cha piriton na udogo wake kina nembo ya GoT, mkuu tunaomba uthibitisho vinginevyo ni majungu, dawa na vifaatiba vya serikali zamani tulikuwa tunabandua lebo au kuhamishia kwwnye kopo jingine sasa hivi huo ujanja hakina tena!
Usikate mzee, bado wapo wanaofanya hiyo michezo
 
Ndio Ila kila kituo hufata huduma oficen kwake sio kwamba yeye anatembea na kugawa
Umesema huyo mzee ni mfamasia wa Wilaya, kwa hiyo anagawa Dawa na Vifaa Tiba katika vituo vya Afya Wilayani?
 
Nimeshakwambia kuna dawa Kama artesunate inakwanguliwa nembo za not for sale nielewe mkuu
Nimeangalia huu uzi ni wa mwaka gani siku hizi kuiba dawa za serikali vigumu sana, hata kidonge cha piriton na udogo wake kina nembo ya GoT, mkuu tunaomba uthibitisho vinginevyo ni majungu, dawa na vifaatiba vya serikali zamani tulikuwa tunabandua lebo au kuhamishia kwwnye kopo jingine sasa hivi huo ujanja hakina tena!
 
Wakuu bila Shaka wote muwazima ,naomba niende moja Kwa moja ktk mada husika, jaman MSD fuatilieni hili suala.

Iko hivi hapa Serengeti kuna Mzee mmoja ni pharmacia wa Wilaya, akiwa na timu yake huyu Mzee amefungua famasi nyingi tu za kutosha sasa basi amekuwa akichukua dawa na vifaa tiba kutoka MSD na kuvifanyia biashara ikiwemo, magodoro ya hospital, dawa kama artesunate inakwanguliwa maandishi yote ya not for sale alafu inauzwa kama kawaida.

Ni kwamba vitu ni vingi anavyoiba huyu mzee anajiita Nyabutika (jb) pia kuna AC imefungwa pale duka lake kubwa linaloitwa green light pharmacy ni mali ya serikali ile nayo amehujumu na kingine kwakuwa ana mamlaka anafungia wafanyabiashara ya madawa kwa kivuli kuwa hayana vigezo alafu anafungua maduka yake, fuatilia mji mzima wa Mugumu ni yeye ndio mwenye duka kila kona ya mji watu wamekosa pa kusemea.

Kwa sababu Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi amewaweka kiganjani unaambiwa imeshatolewa amri Mkuu wa Wilaya au Mkurugenzi wakifika pale wapewe huduma yoyote wanayohitaji bure kabisa pasipo kulipizwa hela yoyote ndio maana anakuwa na kiburi na wizi wa mali za umma na pia ofisini hakai muda mwingi yupo kwenye maduka yake unakuta mtu unatoka kijijini mbali kwenda kuchukua dawa na vifaa vinavyohitajika kituoni kwako ukifika hukuti mtu alafu ukimpigia simu aje kukupa vifaa vinavyohitajika kituoni anakujibu hovyo. Suala jingine upande wa bima nao anahusika yeye pia

Mzee huyu achunguzwe tatizo wakaguzi mkienda huwa mnapewa maneno na virushwa ila hamchunguzi inavyotakiwa mkitaka kujua maozo ya huyu Mzee nendeni kila duka lake lilipo mfanye ukaguzi wa maana na msisahau kwenda kwenye godown yake anayotunzia madawa mtabaini mengi. Jamani wahusika wa MSD fuatilieni hili mnawaumiza wana Serengeti mnaleta madawa wenye mamlaka zao wanachukua na kuyaweka kwenye biashara zao.

Sorry kwa atakaye kwazika Ila ukweli ndio huo ana maduka mpaka kijiji kimoja kinaitwa natta kule kuna magodoro Mali ya serikali yametunzwa tu ndani
Canular (H) hakuna kitu Kama hcho brother mm nakupinga tatzo uwa mnapokuwa mmeajiliwa sehem mkifukuzwa mnaanza kusambaza habari za uongo MIMI NIMEFATILIA NAJUA TREND YOTE NA UTHIBITISHO NINAO na sababu za kwann umekuja kuandika kumchafua hyo mzee Kama ukikubali niruhusu niseme hapa na Kama ukishindwa kuniruhusu Kila mtu ajue wewe Ni muongo na unazo interest zako ambazo mmekaa wawili watatu mkazipanga ambazo lengo lake Ni chuki binafsi Kwan huyo mzee NIRUHUSU NIANIKE HAPA KAMA WEWE NI MKWELI
 
Mfumo wa uagizaji dawa na vifaa Tiba umebadilika siku nyingi Kila kituo kinaagiza chenyewe kutokana na pesa waliyonayo na wavyotoa huduma Sasa ndug ( H) wewe unainterest zako binafsi ambazo Nia ni kumchafua huyo mzee na biashara pia uwa Kuna ushindani maneno Kama hayo hayakosi katika biashara hasa kwa watu ambao ni public servant ongea ukweli sio kumchafua mtu
 
Canular, nasubiri reply yako niweke wazi naona uko kimya ,niruhusu kama kweli unachokiongea kina ukweli mbna haureply mm nimefanya uchunguzi wenye uthibitisho wewe unaniambia ya kumchafua mtu , nasubiri reply yako
 
Nimeangalia huu uzi ni wa mwaka gani siku hizi kuiba dawa za serikali vigumu sana, hata kidonge cha piriton na udogo wake kina nembo ya GoT, mkuu tunaomba uthibitisho vinginevyo ni majungu, dawa na vifaatiba vya serikali zamani tulikuwa tunabandua lebo au kuhamishia kwwnye kopo jingine sasa hivi huo ujanja hakina tena!
Mbongo ajawahishindwa kitu panapo dili
 
Inaonekana mnajuana nyie
Canular, nasubiri reply yako niweke wazi naona uko kimya ,niruhusu kama kweli unachokiongea kina ukweli mbna haureply mm nimefanya uchunguzi wenye uthibitisho wewe unaniambia ya kumchafua mtu , nasubiri reply yako
 
W
Canular, nasubiri reply yako niweke wazi naona uko kimya ,niruhusu kama kweli unachokiongea kina ukweli mbna haureply mm nimefanya uchunguzi wenye uthibitisho wewe unaniambia ya kumchafua mtu , nasubiri reply yako
Wacha kutetea uovu bwana haya mambo ni kweli, Hajafukuzwa mtu hapo! na wala siyo chuki, tena siyo interest binafsi ni ajili ya taifa, ukibisha mimi niongoze jopo la wakaguzi kutoka DDH na Bomani km huja dhalilika hapo wee mzee!

kuweka ushahidi unaweka tu siyo mpaka uombe reply ya mtu, tunawajua na mimi baadhi ya dawa nilinunua hapo na rist ninazo. unakandamiza wana serengeti
 
Watu wanapiga juzi ukerewe DMO kapiga dawa dawa za zaidi ya 400M Hawa jamaa Ni shida Sana sijui kamati za mapokezi zinafanya Nini mahospitalini?
 
Back
Top Bottom