Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,614
Ndiyo ubovu wa sheria zetuHuyo alitenguliwa uteuz wake, hajafukuzwa kazii elewa hilo
Ndiyo ubovu wa sheria zetuHuyo alitenguliwa uteuz wake, hajafukuzwa kazii elewa hilo
Mbona sahivi wanalilia?Serikali Ni Tajiri Sana
Kwa bajeti ya 2022/23 aliyooma Mwigulu juzi, mtu akitenguliwa uteuzi anarudishwa katika cheo na mshahara aliokuwa nao kabla ya uteuzi huo.Huyo alitenguliwa uteuz wake, hajafukuzwa kazii elewa hilo
kidogo hii mwigulu kachez kama peleee.. huwezi mshusha cheo mtu alafu mshahara anapokea na boss..Kwa bajeti ya 2022/23 aliyooma Mwigulu juzi, mtu akitenguliwa uteuzi anarudishwa katika cheo na mshahara aliokuwa nao kabla ya uteuzi huo.