young prof
Member
- Sep 20, 2012
- 37
- 11
Wana JF naombeni mnisaidie katika hili,kuna ndugu yangu anataka kusoma hii masters huko kwa malkia (UK),sasaa anasema akiangalia ada ipo expensive kidogo kuliko masters nyingine..mimi naomba kuulizia ubora wake,na inakupa opportunities gani labda ukiwa nayo ili nipate kujua sababu kwa nini inakuwa juu kuliko nyingine
Nawasilisha!!
Nawasilisha!!