Tumsifu sam
Member
- Jan 24, 2021
- 19
- 5
Ndio mim vp kwanuyo ndio wewe ?
Hapo ni aluminium au unauza susu
Duh! Sometime tusiweke mawazo has kwenye vitu chanya ili kuharibu fursaHapo ni aluminium au unauza sura?
Kwa kuangalia Alluminium Window inaonekana kazi zako ni nzuri. Hata hivyo ingekuwa ni vizuri kama ungeongeza picha zaidi ya kazi mbalimbali mnazofanya au mlizokwishafanya. Hii itasaidia kuvutia wateja zaid; na kwa kuongezea kwenye hili sio mbaya kama mtaweka bei ya kazi zenu. Mfano mnaweza kuanzia na bei za madirisha na milango ya Alluminium kulingana na vipimo/ukubwa/size mbalimbali.Tunatengeneza alluminium. madirisha, milango, partition na makabati, tupo DAR ES SALAAM - TEGETA. NO 0652299341
View attachment 1685157View attachment 1685158
Ndugu yangu Jf naiona inaelekea kuwa Facebook sasaAisee!! kazi kweli kweli,hii ndio JF ya zama hizi,ngoja niishie hapa kwenye kucomment!!
JF members we are under attack ,Tuoneshe kazi zako mkuu, tukionana site sura mbona tutaiona tu
Mbona tunawaona mafundi zaidi kuliko kazi zenyeweTunatengeneza alluminium. madirisha, milango, partition na makabati, tupo DAR ES SALAAM - TEGETA. NO 0652299341
View attachment 1685157View attachment 1685158
Ok,Ahsante kwa ushauri wako, mkuu nimekuelewa ntakufanyia kaz ili kuboresha zaid suala la kazKwa kuangalia Alluminium Window inaonekana kazi zako ni nzuri. Hata hivyo ingekuwa ni vizuri kama ungeongeza picha zaidi ya kazi mbalimbali mnazofanya au mlizokwishafanya. Hii itasaidia kuvutia wateja zaid; na kwa kuongezea kwenye hili sio mbaya kama mtaweka bei ya kazi zenu. Mfano mnaweza kuanzia na bei za madirisha na milango ya Alluminium kulingana na vipimo/ukubwa/size mbalimbali.
Sio hivyo, Nita attach picha za kaz ili wadau waoneMbona tunawaona mafundi zaidi kuliko kazi zenyewe
Dah,kambaku mbona picha zote zipo kwenye mazingira ya kazi za ALLUMINIUM lknIla watu jamani khaaa
Hivi Tumsifu serious Kweli hizo picha unatangaza biashara ya aluminium au unajitangaza wewe.
Mafundi s ndio wahusika wakuuMbona tunawaona mafundi zaidi kuliko kazi zen