Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,075
umekuwa ni msemo maarufu sana mtaani pengine wengi hawajui nani aliyeuanzisha huu msemo wengi hawajui young killer ndo mwanzilishi baada ya kuimba nyimbo ambayo alikuwa anamponda msanii mwenzie ney wa mitego baada ya mda tena kidogo nikasikia tangazo la tigo likiutumia huu msemo lakini sielewi ni namna gani msanii ataweza kunufaika inapotokea ishu kama hii