Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,495
- 9,275
Muimbaji huyo amesema taarifa hizo hazipaswi kuaminiwa na wanaozisambaza ni wale wenye nia mbaya ya kumchafua.
“Sijawahi kutumia dawa za kulevya na kama kuna mtu yeyote anayeshupalia hicho kitu na ana uhakika anaweza kuweka dau tuende tukaangalie tuhakikishe, kama natumia sawa atakuwa ameshinda na jamii imejua” amesema.
“Kama nitaonekana situmii niondoke na dau na jamii itakuwa imeshajua situmii kitu kama hicho” ameongeza. Katika hatua nyingine amesema hivi karibuni anatarajia kutoa ngoma yake mpya.
Bongo5
“Sijawahi kutumia dawa za kulevya na kama kuna mtu yeyote anayeshupalia hicho kitu na ana uhakika anaweza kuweka dau tuende tukaangalie tuhakikishe, kama natumia sawa atakuwa ameshinda na jamii imejua” amesema.
“Kama nitaonekana situmii niondoke na dau na jamii itakuwa imeshajua situmii kitu kama hicho” ameongeza. Katika hatua nyingine amesema hivi karibuni anatarajia kutoa ngoma yake mpya.
Bongo5