King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,670
- 68,628
- Thread starter
- #21
Halafu kuna mijinga hapa inayo sisitiza tuwaenzi wasanii uchwara wa bongo.
huyu jamaa afungwe gerezani kwa wizi.
sasa unakuta mwenzie katumia vyombo halisi halafu yeye kaiga kutumia beats zao za kitoto!
Hawa wakameroon wakistukia na ku-msue dogo sijui itakuaje maana nyimbo mbili daa huu ni wizi kabisa wa kazi zao