SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,079
- 7,976
Ur right.Wanaolalamika vya maana hawashughulikiwi wizi za movie zao ( ingawa hazina ubora) hawa waliokataa tamaa ya maisha wakilalamikiwa vimbelembele vimewajaa yaani huyo shoza ni bure kabisa
Ur right.Wanaolalamika vya maana hawashughulikiwi wizi za movie zao ( ingawa hazina ubora) hawa waliokataa tamaa ya maisha wakilalamikiwa vimbelembele vimewajaa yaani huyo shoza ni bure kabisa
Nakuja mpenzi baba swaleheNjoo kwang huyo kibaka da vinc atakutesa sana
NdioHee ben 10 nlyekuwa namwangalia nkiwa mdg kwenye katun ndo kakua hivi looh
Hivi hapo mkono wa ke ni upi.na wa me ni upi?Hapa akiwa na Ben 10 wake
View attachment 873568
Huo wenye kucha ndo wa ki-ben 10 chake.Hivi hapo mkono wa ke ni upi.na wa me ni upi?
Sasa huyo mtoto aliyemuacha Nyumbani hela ya maziwa anapata wapi,,,?serikali iwe na huruma AseeHapa akiwa na Ben 10 wake
View attachment 873568
HahahahhahaSasa huyo mtoto aliyemuacha Nyumbani hela ya maziwa anapata wapi,,,?serikali iwe na huruma Asee
Kutoa ni moyo tutembeze bakuli nahisi ana hali mbaya mno...Hahahahhaha
Watu mna vituko sana.
Ila kweli...sijui atapata wapi pesa ya maziwa na Cerelac