IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Huyu Dada kaanza kwenye bongo movie akagundua hailipi.,kapambana sana akaanza mziki na amefanikiwa sana.
Kikwazo chake kilikuwa nuh mziwanda,akapata washauri wazuri akaachana,nae.
Sasa hivi yuko na MTU sahihi kuna mabadiliko makubwa sana katika kila kitu no skendo mda mwingi anapambana na maisha.
Msingi wa hoja yangu ni huyu Dada Mara zote yuko open sana anaga maigizo kabisa.
Naomba mwenyezi Mungu ajue kuongea kingereza cz ndio ndoto yake kubwa.,kwa jinci anavyopambana naamini ataongea fluent English sio broken km Tundulisu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikwazo chake kilikuwa nuh mziwanda,akapata washauri wazuri akaachana,nae.
Sasa hivi yuko na MTU sahihi kuna mabadiliko makubwa sana katika kila kitu no skendo mda mwingi anapambana na maisha.
Msingi wa hoja yangu ni huyu Dada Mara zote yuko open sana anaga maigizo kabisa.
Naomba mwenyezi Mungu ajue kuongea kingereza cz ndio ndoto yake kubwa.,kwa jinci anavyopambana naamini ataongea fluent English sio broken km Tundulisu.
Sent using Jamii Forums mobile app