MLUGURU
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 2,829
- 3,529
Msanii huyu anaejinasibu kama msanii msomi kuliko wote na mwenye ndoto za kuwa Rais amewafananisha wanawake wasiojitambua sawa sawa na wanawake wenye ulemavu Wa akili.
Yapasa aombe radhi Kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Yapasa aombe radhi Kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app