Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
platinamuzi anapiga masumbwi.
Use - less
Unatangaza blog tuu huna lolote!
Bush sheet!!!!!!!!!!!!1
alikuwa anafananisha tukio hilo na shati la rais wa zamani wa Marekani...Bush's shirt!!!Ha ha haaa... eti Bush sheet... bora ungeandika Stoooped... Yailah toba...
Hata mi nashangaa... huyu mtu mwenyewe anaonekana amechokachoka tu... anakupigaje?
moja ya majanga hataree
Uzi wa 2012 unakwenda kufufua ili iweje?
Msanii Naseeb Abdul a.k.a Diamond akiwa chini ya ulinzi wa mashabiki uwanja wa Samora Iringa baada ya kushindwa kufanya show katika uwanja huo. Msanii huyo na wenzake wamekamatwa na polisi Iringa baada ya kumpiga na kuharibu vifaa vya kazi vya mmiliki wa mtandao wa Francis Godwin Mzee Wa Matukio Daima kama njia ya kupinga kuhojiwa na vyombo vya habari.
Msanii Diamond ameruhusiwa kudhaminiwa leo majira ya saa 6 mchana na kuondoka kuelekea jijini Dar es Salaam kufanya uzinduzi wa Albamu yake,msanii huyo aliwekwa mahabusu ya kituo cha polisi mjini Iringa kwa tuhuma za kumpiga na kuharibu vitendea kazi vya mmiliki wa mtandao huu wawww.francisgodwin.blogspot.com uwanja wa Samora mjini Iringa