Mkwala
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 1,158
- 1,227
JKCI si ni moyo.. kwan Figo wanatibu piaAlikuwa bega kwa bega Na Mrs Prof Mutahaba Kule South Africa, India, Kairuki, JKCI kumuuguza 'Boss' Ruge
Ngoja wadau waje kutuambia alikuwa mbele Kama Mdau Au Kama Mtu maalum
Mrs ungeanza na heshima yake Dkt then Mrs oh nimekumbuka wewe sio Muhaya ni MkwereAlikuwa bega kwa bega Na Mrs Prof Mutahaba Kule South Africa, India, Kairuki, JKCI kumuuguza 'Boss' Ruge
Ngoja wadau waje kutuambia alikuwa mbele Kama Mdau Au Kama Mtu maalum
Nilimuona Marekani majuzi tu ..kabadilika sanaRay c sijamuona kabisa msibani ilitakiwa awe kwenye ule mstari wa wajane masikini sijui yukwapi
Baada..yule alipita tuKwahiyo yule msanii wa kiume aliyekuwa naye chumbani ni kabla ya kuwa na huyo boss au baada? Vijana wana mitihani sana!
Ray c sijamuona kabisa msibani ilitakiwa awe kwenye ule mstari wa wajane masikini sijui yukwapi
Mbona hamna code hapo ray c humjui?Wana JeiHefu mnapenda sana kuzungumza kwa code.
Jamaa alikua anajua kuchagua,sijui kilimkuta nn kwa huyu mama watoto wake,naona alitaka kupima oil tu lkn akanasa,kigoma si kwa mchezo mchezo,kuna mhenga aliniambia nikitaka kuchepuka nisichepuke na demu wa kigoma hata akiwa mbaya vp,kuna babu zetu walihonga nyumba k'koo kwa wakigoma,toka hapo nikitaka kuchepuka naangalia kaskazini mwa Tz huko
Jamaa alikua anajua kuchagua,sijui kilimkuta nn kwa huyu mama watoto wake,naona alitaka kupima oil tu lkn akanasa,kigoma si kwa mchezo mchezo,kuna mhenga aliniambia nikitaka kuchepuka nisichepuke na demu wa kigoma hata akiwa mbaya vp,kuna babu zetu walihonga nyumba k'koo kwa wakigoma,toka hapo nikitaka kuchepuka naangalia kaskazini mwa Tz huko
Yuko Hollywood anakula maisha.Ray c sijamuona kabisa msibani ilitakiwa awe kwenye ule mstari wa wajane masikini sijui yukwapi