barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,584
Habari zenu.
Leo msanii mkongwe wa hip hop na mwanaharakati ajulikanae kama Kala Pina, leo amejiondoa chama cha CUF na kujiunga na CCM.
Kala Pina alishiriki leo katika kampeni za kumnadi mgombea ubunge wa ccm ndugu Mtulia na kusema kuwa anajiunga na CCM baada ya kuona juhudi za rais JPM katika kutetea maslahi ya taifa.
Source: TBC habari.
Kweli JPM ni chaguo la Mungu. Mpaka kufika 2020, wenye kujielewa wote watakuwa upande wa JPM.
Leo msanii mkongwe wa hip hop na mwanaharakati ajulikanae kama Kala Pina, leo amejiondoa chama cha CUF na kujiunga na CCM.
Kala Pina alishiriki leo katika kampeni za kumnadi mgombea ubunge wa ccm ndugu Mtulia na kusema kuwa anajiunga na CCM baada ya kuona juhudi za rais JPM katika kutetea maslahi ya taifa.
Source: TBC habari.
Kweli JPM ni chaguo la Mungu. Mpaka kufika 2020, wenye kujielewa wote watakuwa upande wa JPM.