Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Hiki ndo nnachokupendea Mwalimu......hakuna kulalama kama wengine we unatoa ushauri tuu!! ivi tatizo la hiyo bra ni rangi ama?:violin:
bra haijalitendea haki kilichoko chini yake........badala ya kukionyesha kwa uzuri na ujazo wake uliopewa, limekigandamiza na kuwa out of shape :confused2:
sio silalamiki ................ukitaka kufanya kitu fanya kwa ukamilifu wake (kama kataka kuvua nguo mbele za watu, basi angalau awe amependeza)