Msanii Linex anayedaiwa deni Kibona Hotel awatukana Watangazaji wa SHILAWADU tusi hili....

Kwa kipindi kama hicho ni kawaida sana kukutana na challenge za namna hiyo... si bora ya sisi watanzania tuna staha kidogo...


cc: mahondaw
 
Muda mfupi tu uliopita ' Msanii ' wa Bongo Fleva Linex wakati akiwa ' anahojiwa ' katika Simu na Watangazaji wa Kipindi ' maarufu ' cha SHILAWADU juu ya ' deni ' kubwa la Tsh 943,000/ analodaiwa na Kibona Hotel na ambalo pamoja na ' ubrazameni ' wake wote ameshindwa ' kulilipa ' alipobanwa na swali alijikuta ' akihamaki / akikasirika ' na kuwatukana ashakum si matusi alianza na bonge la ' msonyo ' wa ' kutukuka ' na akamalizia kwa kuwaambia namnukuu..." nyie Wasenge nini ".

Hivi Wewe Linex hujui kuwa hiyo ' show ' ya SHILAWADU si tu inatizamwa bali pia inapendwa sana na Mheshimiwa Rais wetu wa JMT Dkt. Magufuli? Hivi hujui kuwa ' kuwatukana ' Watangazaji wa SHILAWADU kuwa ni ' Wasenge ' basi ' automatically umeshatutukana hadi na sisi ' Watazamaji ' wote pamoja na ' Taita ' huyo mtajwa hapo juu wa Magogoni?

Tafadhali TCRA naomba mumchukulie hatua ' Kali ' za ' Kinidhamu ' huyu Msanii Linex ili liwe fundisho kwa ' Wapumbavu ' wengine ambao wanadhani kuwa ' Msanii ' maarufu nchini basi ndiyo kibali cha wao kuwa juu ya ' Sheria '.

Ila TCRA kama basi mtashindwa au kuogopa kumchukulia hatua ' Kali ' za Kinidhamu huyu Msanii Linex basi tuambieni ili tuwape ' rukhsa ' wale ' Watekaji ' wa Ununio mkabala na Mahaba Beach ' wamteke ' ili wakamfundishe jinsi ya kuwa na ' adabu ' na akitupwa barabarani baada ya kuachiwa pengine atakuwa ameshajirekebisha.

Na nyie Clouds tv hasa ' Watangazaji ' wa Kipindi cha SHILAWADU jaribuni sana kuhakikisha kuwa Watu ambao mnafanya nao ' interview ' wana ' akili ' sawasawa kwani yawezekana kuna wengine ambao huwa mnawahoji tayari ni ' matahaira ' tokea huko majumbani Kwao hivyo ' matusi ' kama haya yanaweza kuwashushia ' Heshima ' hata nyie kama ambavyo ' Msanii ' Linex amefanya leo kwa kuwatukana tusi la ' Wasenge ' mubashara kabisa.

Nawasilisha.
Hata we umetukana umesema wapumbavu hivyo mko sawa tu na linex

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada nawewe unamata tizo makubwa unapaswa kuchukuliwa hatua kali unatukanaje matusi hadharani umesema "wapumbavu"huoni kama umetukana unatofautiana nini na linex?wa tz bwana kaz kwelikeli

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
mtoa mada sio rizki wakongwe jf tunamfahamu.

Asante na nitukaneni tu kwani Mimi GENTAMYCINE nikisema nirudishie ' mnakimbilia ' upesi kwa akina Paw na JamiiForums na Moderators wengine ' kunilaumu ' na kutaka nipigwe ' BAN '. Tokea juzi niliahidi kuwa sitomtukana Mtu wala kutoa ' Kashfa ' yoyote kwa Member yoyote humu JF ila nyie nawaruhusu tu ' mnitukane ' mtakavyo na nawaachia hao ' Watajwa ' hapo juu kuchukua ' maamuzi ' ya Kisheria na Kikanuni ambazo JF imejiwekea.

Kila la kheri.
 
Mtoa mada nawewe unamata tizo makubwa unapaswa kuchukuliwa hatua kali unatukanaje matusi hadharani umesema "wapumbavu"huoni kama umetukana unatofautiana nini na linex?wa tz bwana kaz kwelikeli

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app

Pumbavu siyo tusi na ndiyo maana hata katika Kitabu ' Kitakatifu ' cha Biblia hilo neno Mwenyezi Mungu amelitumia mara 21 huku neno Mjinga akilitumia mara 9. Yawezekana tatizo kubwa ambalo kweli ninalo na nashindwa kulitatua ni Mimi kuwa na ' akili ' nyingi sana kuliko Wewe.
 
Back
Top Bottom