Hivi kwani Joseverest ndio nani hapa bongo?Joseverest
We n ke au me maan unaingilia vitu ambavyo havikuhusuMuda mfupi tu uliopita ' Msanii ' wa Bongo Fleva Linex wakati akiwa ' anahojiwa ' katika Simu na Watangazaji wa Kipindi ' maarufu ' cha SHILAWADU juu ya ' deni ' kubwa la Tsh 943,000/ analodaiwa na Kibona Hotel na ambalo pamoja na ' ubrazameni ' wake wote ameshindwa ' kulilipa ' alipobanwa na swali alijikuta ' akihamaki / akikasirika ' na kuwatukana ashakum si matusi alianza na bonge la ' msonyo ' wa ' kutukuka ' na akamalizia kwa kuwaambia namnukuu..." nyie Wasenge nini ".
Hivi Wewe Linex hujui kuwa hiyo ' show ' ya SHILAWADU si tu inatizamwa bali pia inapendwa sana na Mheshimiwa Rais wetu wa JMT Dkt. Magufuli? Hivi hujui kuwa ' kuwatukana ' Watangazaji wa SHILAWADU kuwa ni ' Wasenge ' basi ' automatically umeshatutukana hadi na sisi ' Watazamaji ' wote pamoja na ' Taita ' huyo mtajwa hapo juu wa Magogoni?
Tafadhali TCRA naomba mumchukulie hatua ' Kali ' za ' Kinidhamu ' huyu Msanii Linex ili liwe fundisho kwa ' Wapumbavu ' wengine ambao wanadhani kuwa ' Msanii ' maarufu nchini basi ndiyo kibali cha wao kuwa juu ya ' Sheria '.
Ila TCRA kama basi mtashindwa au kuogopa kumchukulia hatua ' Kali ' za Kinidhamu huyu Msanii Linex basi tuambieni ili tuwape ' rukhsa ' wale ' Watekaji ' wa Ununio mkabala na Mahaba Beach ' wamteke ' ili wakamfundishe jinsi ya kuwa na ' adabu ' na akitupwa barabarani baada ya kuachiwa pengine atakuwa ameshajirekebisha.
Na nyie Clouds tv hasa ' Watangazaji ' wa Kipindi cha SHILAWADU jaribuni sana kuhakikisha kuwa Watu ambao mnafanya nao ' interview ' wana ' akili ' sawasawa kwani yawezekana kuna wengine ambao huwa mnawahoji tayari ni ' matahaira ' tokea huko majumbani Kwao hivyo ' matusi ' kama haya yanaweza kuwashushia ' Heshima ' hata nyie kama ambavyo ' Msanii ' Linex amefanya leo kwa kuwatukana tusi la ' Wasenge ' mubashara kabisa.
Nawasilisha.
We nawe sometimes kama ******, sasa TCRA wamchukulie hatua Linex au Clouds? Nani aliwaambia KWAMBA kipindi ni live? Si wanapagawa kuki hariri? Kile ni semi-live..AF eti nyoko fyoko nna degree ya mass communication..pumbav sana we mwanamke! Karibu mlima wa moto!
We n ke au me maan unaingilia vitu ambavyo havikuhusu
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Mbona alama za funga semi na fungua semi nyingi sana kwenye post yako?
Nanyie shilawadu wahojini pembeni kwanza ndo mrushe kwani iko siku atajatukanwa prezdar mtajuta
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
NakweliKwa kuwatukana Watangazaji hao wa SHILAWADU huku akijua pia kuwa wanatizamwa na kusikilizwa pia na sisi unadhani hapo hadi ' Prezidaa / Taita ' nae hilo ' tusi ' halijamhusu?
Usiwapangie TCRAMkuu yaani wote hadi ' Taita ' wa ' Magogoni ' aliyepo likizoni ' TOCHA ' ambao kwa pamoja ' tulikodolea ' nae Kipindi cha SHILAWADU tumeambiwa ' Wasenge '. Yaani TCRA msipomchukulia hatau ' Kali ' huyu ' Msanii ' Linex nadhani mtakuwa mmetukosea sana adabu ' Watanzania ' na ' Watazamaji ' wote wa Clouds tv.
Tafadhali ' Kinukisheni ' kwa Linex.