Msanii Linex anayedaiwa deni Kibona Hotel awatukana Watangazaji wa SHILAWADU tusi hili....

Soudy brown dume zima linajificha uso kisa anajua ukweli kabisa kuwa wanaume hatupendagi usnichi, unoko wala umbeya, Kama anaona anachofanya ni sahihi kwanini anajifichaficha...Snitches get stitches ashukuru katukanwa..Hicho kipindi ho
 
Muda mfupi tu uliopita ' Msanii ' wa Bongo Fleva Linex wakati akiwa ' anahojiwa ' katika Simu na Watangazaji wa Kipindi ' maarufu ' cha SHILAWADU juu ya ' deni ' kubwa la Tsh 943,000/ analodaiwa na Kibona Hotel na ambalo pamoja na ' ubrazameni ' wake wote ameshindwa ' kulilipa ' alipobanwa na swali alijikuta ' akihamaki / akikasirika ' na kuwatukana ashakum si matusi alianza na bonge la ' msonyo ' wa ' kutukuka ' na akamalizia kwa kuwaambia namnukuu..." nyie Wasenge nini ".

Hivi Wewe Linex hujui kuwa hiyo ' show ' ya SHILAWADU si tu inatizamwa bali pia inapendwa sana na Mheshimiwa Rais wetu wa JMT Dkt. Magufuli? Hivi hujui kuwa ' kuwatukana ' Watangazaji wa SHILAWADU kuwa ni ' Wasenge ' basi ' automatically umeshatutukana hadi na sisi ' Watazamaji ' wote pamoja na ' Taita ' huyo mtajwa hapo juu wa Magogoni?

Tafadhali TCRA naomba mumchukulie hatua ' Kali ' za ' Kinidhamu ' huyu Msanii Linex ili liwe fundisho kwa ' Wapumbavu ' wengine ambao wanadhani kuwa ' Msanii ' maarufu nchini basi ndiyo kibali cha wao kuwa juu ya ' Sheria '.

Ila TCRA kama basi mtashindwa au kuogopa kumchukulia hatua ' Kali ' za Kinidhamu huyu Msanii Linex basi tuambieni ili tuwape ' rukhsa ' wale ' Watekaji ' wa Ununio mkabala na Mahaba Beach ' wamteke ' ili wakamfundishe jinsi ya kuwa na ' adabu ' na akitupwa barabarani baada ya kuachiwa pengine atakuwa ameshajirekebisha.

Na nyie Clouds tv hasa ' Watangazaji ' wa Kipindi cha SHILAWADU jaribuni sana kuhakikisha kuwa Watu ambao mnafanya nao ' interview ' wana ' akili ' sawasawa kwani yawezekana kuna wengine ambao huwa mnawahoji tayari ni ' matahaira ' tokea huko majumbani Kwao hivyo ' matusi ' kama haya yanaweza kuwashushia ' Heshima ' hata nyie kama ambavyo ' Msanii ' Linex amefanya leo kwa kuwatukana tusi la ' Wasenge ' mubashara kabisa.

Nawasilisha.
We n ke au me maan unaingilia vitu ambavyo havikuhusu

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
We nawe sometimes kama ******, sasa TCRA wamchukulie hatua Linex au Clouds? Nani aliwaambia KWAMBA kipindi ni live? Si wanapagawa kuki hariri? Kile ni semi-live..AF eti nyoko fyoko nna degree ya mass communication..pumbav sana we mwanamke! Karibu mlima wa moto!

Tangia uliponifumania ' nampakuwa ' kama App ' Mazeri ' wako tena 0713 umekuwa ukinichukia sana Mkuu. Siyo Kosa langu bali ' Bibie ' anapenda sana ' nikimtambalizia ' Mkuyenge wangu huko na Mimi bila ' hiyana ' huwa nampelekea wote hadi breki za P.
 
Masikini msanii wetu pendwa wa nyimbo nzuri kama mama halima. Aifora. Moyo wa subira ndo kichwa chake kimeishiwa hivi dah

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Nanyie shilawadu wahojini pembeni kwanza ndo mrushe kwani iko siku atajatukanwa prezdar mtajuta

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Mbona alama za funga semi na fungua semi nyingi sana kwenye post yako?

Unapokuwa kwa mfano ' unambandua ' Demu mwenye ' uvuzi ' mwingi pale Wewe lengo lako huwa ni kupata tu ule ' Utamu ' wake uliotukuka au kulijua ' pori ' lake tengefu a.k.a Vuzi?
 
Nanyie shilawadu wahojini pembeni kwanza ndo mrushe kwani iko siku atajatukanwa prezdar mtajuta

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app

Kwa kuwatukana Watangazaji hao wa SHILAWADU huku akijua pia kuwa wanatizamwa na kusikilizwa pia na sisi unadhani hapo hadi ' Prezidaa / Taita ' nae hilo ' tusi ' halijamhusu?
 
Muhudumu ongeza glasss, oooh muhudumu ongeza kasiii

Sent from my HTC One using JamiiForums mobile app
 
Huyo nae anaham na ruge
Haon hata mapacha 3 na rubby,wanavyokula msoto

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Mkuu yaani wote hadi ' Taita ' wa ' Magogoni ' aliyepo likizoni ' TOCHA ' ambao kwa pamoja ' tulikodolea ' nae Kipindi cha SHILAWADU tumeambiwa ' Wasenge '. Yaani TCRA msipomchukulia hatau ' Kali ' huyu ' Msanii ' Linex nadhani mtakuwa mmetukosea sana adabu ' Watanzania ' na ' Watazamaji ' wote wa Clouds tv.

Tafadhali ' Kinukisheni ' kwa Linex.
Usiwapangie TCRA
 
LineX Mstarabu Sana Ingekuwa Mimi I think Kesho Ndinga Iko Mlangoni Inanisubiri My Life Usinipangie Mkinipigia Hilo Deni Litafutika

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom