hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,115
Unaniangaisha ngaishaAISHA AISHA
Unaniangaisha ngaishaAISHA AISHA
Unaniangaisha ngaisha
Pia alikuwa nimtu mpole Sana..Yuko very humble Hana majivuno kabisaCpwaa ni moja kati ya wasanii wasomi na wenye uwelewa mkubwa sana. Ukisikia hata kuongea kwake utajua tu kuwa ni mtu anaejitambua sana. R.I.P Cpwaa
Kuna verse moja inaniuaga mbaya eti "Aisha hakuna mwanaume akuangalie asisimamishe...." huwa najaribu kumu i-magine huyo aisha sasa!!Unaniangaisha ngaisha
Alipaswa kufaje kwani😏??Mbona kafa haraka haraka hivyo ? 😢😢😢
Cpwaa ni moja kati ya wasanii wasomi na wenye uwelewa mkubwa sana. Ukisikia hata kuongea kwake utajua tu kuwa ni mtu anaejitambua sana. R.I.P Cpwaa
Kuna verse moja inaniuaga mbaya eti "Aisha hakuna mwanaume akuangalie asisimamishe...." huwa najaribu kumu i-magine huyo aisha sasa!!
mondi hata mitimba alikuwa bado hajui ataanza lini kuuza mkuu hapo tunaongelea 2002 to 2003 Ni longtime sanaKipindi hicho hao wazee wanatamba mondi anauza mitumba.
Ila Ali kiba alikuwepo
Au alikua anaokota machuma chakavu bado haaa haaamondi hata mitimba alikuwa bado hajui ataanza lini kuuza mkuu hapo tunaongelea 2002 to 2003 Ni longtime sana
Ni kweli alikuwa mtaalamu wa computer..pia alipata one ya 7 form four6 IN D Ma
My favourite Track ni 6 In Da Morning huwa haikosi kwenye Majani Playlist zangu.
Rest Easy CP! Japo hajawahi kuelezea kirefu cha CP but i think he meant Computer Programmer!
Ni yeye mwenye sauti nzito..wimbo unaitwa nafasi nyingineBaby iam sooorrry( suma lee)
Kuna mwingine ana sauti nzito anaitika sorry sorry
Ndo huyu kaka?
cpwaa daaah
dunia tunapita
Una uhakika na hilo la point 7?Ni kweli alikuwa mtaalamu wa computer..pia alipata one ya 7 form four