Emen
JF-Expert Member
- Jun 22, 2021
- 1,944
- 3,200
Ni msanii wa bongo fleva.. kitambo flani walikuwa na kundi lao linaitwa Park leen ( sina hakika kama nime spell well)
Miongoni mwa nyimbo alizopata kuimba ni kama:
1. Nafasi nyingi
2. C Pwaa
3. Action
Alipata kuwa na sauti matata sana..
RIP Cpwaa