Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,416
- 3,911
Akiwa mmeposti kwenye ukurasa Wake Wa Instagram kasema " Trust Me kutokuwepo kwa Tuzo kwenye Muziki Inapunguza Thamani ya Muziki Tanzania Maana sasa hivi tumebaki kushindania YouTube tu ngoma yako isipofikisha Million 1 (views) ndani ya siku mbili basi hiyo ngoma sio bora"
"Kushindania views YouTube ( kutokana na kutokuwepo na Tuzo Tanzania inapeleka hata Wasanii kutumia Nguvu kubwa katika promotion kulipia sponsered ili kupata viewers Wengi, hii inatulemaza Ubongo na inaenda kuathiri Vizazi na Vizazi Tunaitaji Tuzo" aliongeza
"Kushindania views YouTube ( kutokana na kutokuwepo na Tuzo Tanzania inapeleka hata Wasanii kutumia Nguvu kubwa katika promotion kulipia sponsered ili kupata viewers Wengi, hii inatulemaza Ubongo na inaenda kuathiri Vizazi na Vizazi Tunaitaji Tuzo" aliongeza