bhachu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 8,351
- 9,525
Nakumbuka kwangu enzi nipo Arusha miaka ya 2016 , Nlikuwa na kawaida ya kwenda club D maeneo ya Moshono.
Siku ya siku wakaja kina Mr Blue na Rommy Jons ambae alipewa u DJ.
Cha ajabu hatukuwa wengi sana, hatukufika hata 30,
Basi ikawa Mr Blue ananipa mic sana tu niwe nafuatiliza nyimbo zake maana nlikuwa nmezikariri nyingi.
Ilikuwa poa sana ile siku kwangu, Jamaa yupo peace hana makuu
Ndukusulukucho alokua anaimbaga na marehemu John walker, alinishauri niachane na masuala ya mziki.