Serikali haiangaiki na vichaaHahaaaa kwa hii sirikali ilivyo na mambo ya ajabu unaweza kushangaa wanamtumia watu wasiojulikana mtu kama chidii..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilo lipo wazi TL lazma aende Magereza akifka tuunasikia mbowe kashamtayarishia tundu lisu selo ya kukaa segerea siku akirudi bongo
Ungeachana nae usikute hajaona na kusikia kile kile alichoongea zaid ya kucvhangia kwa hisiaHajampinga magufuli. Kamuelekeza makonda asibase na mambo ya wasanii na michezo afanye mambo yenye tija kama kuboresha magereza maana anaweza kwenda yeye na hata magufuli. Unasema hiyo sio point kweli
Acha uchochezi ni neno gani ambalo ni tusi kwenye maoni ya Chid? Kila mmoja anafikiria tofauti hatuwezi kufanana katika kufikiri, ila lazima tukubaliane uelekeo sahihiHivi uliyeweka uzi huu umejaribu kufikiri hata kwa sekunde??
Mtu kama huyu unamuona wa maana saana kisa tu kamtukana mtu fulani!! Mtakesha!! Leo lissu kapuni leo chidi benzi naye atafunikwa kama ya membe hawa ndio wapinzani!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi uliyeweka uzi huu umejaribu kufikiri hata kwa sekunde??
Mtu kama huyu unamuona wa maana saana kisa tu kamtukana mtu fulani!! Mtakesha!! Leo lissu kapuni leo chidi benzi naye atafunikwa kama ya membe hawa ndio wapinzani!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Makonda aende segerea kwa kosa lipi? Magufuli aende segerea kwa katiba ipi? hahahaha leo chid benz kawa kipenzi cha chadema
Kamtukanaje?Hivi uliyeweka uzi huu umejaribu kufikiri hata kwa sekunde??
Mtu kama huyu unamuona wa maana saana kisa tu kamtukana mtu fulani!! Mtakesha!! Leo lissu kapuni leo chidi benzi naye atafunikwa kama ya membe hawa ndio wapinzani!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama huwa mnaangalia Ujumbe kwa nini huwa mnakesha mitandaoni mkitukana na kukejeli watu!?
Sio bure itakuwa mnavuta nae madawa gheto.Jamaa kaongea maneno yenye hekima na busara sana.
Hakika umzania sie! Kama tunashindwa kuitangaza haki basi hata mawe yatasema
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona ccm kuna mashoga?Mlianza kuunga mkono na kusambaza Usho.ga na sasa mnahamia kwenye watumiaji madawa ya kulevya na kuharibu watoto wetu.
Pathetic!
#HAPANATunduLissu.
Anatengenezewaje wakati kila mtu anajua jamaa ni teja tayari?Huyu chidi benz atatengenezewa kesi ya madawa ya kulevya...alafu jela forever...
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajidanganya kama mazezeta wenzako. Katiba imeandikwa na watu, watu hao hao wanaouwezo wa kuamua kumfanyia Nini kiongozi aliyewafanyia uhuni kinyume cha kiapo chake. Huwezi kuvunja haki za watu halafu udai utalindwa na Katiba, sahau!!!Shida yenu mnajua kuandika sana kuliko kufikiri... sasa hao uliowataja na katiba zao na yetu zina fanana? yetu haitoi mwanaya kwa Rais kushitakiwa hata akimaliza muda wake...hata ikibadilishwa maana yake hata yeye haito muhusu baadala yake sheria itaanzia pale ilipobadilishwa