Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,751
- 19,987
.....
....sauti ya watu sauti ya chuma
....sauti ya watu sauti ya chuma
Shida yenu mnajua kuandika sana kuliko kufikiri... sasa hao uliowataja na katiba zao na yetu zina fanana? yetu haitoi mwanaya kwa Rais kushitakiwa hata akimaliza muda wake...hata ikibadilishwa maana yake hata yeye haito muhusu baadala yake sheria itaanzia pale ilipobadilishwaRais wa Israel yupo ndani rais wa Brasil yipo ndani ,rais wa korea yupo ndani,rais Gabo yupo ndani
Ukiwa umshikilia mpini huwezi ona kosa..kwa sasa wao wana dola..siku itakuja watakapokuwa hawana dola..watakuwa toothless..bila ya kuwa na maamuzi
Sheria huwa zinabadirika..hata Sadam Hussen hakujuwa kama atakuja hukumiwa kifo kwa makosa yake ya nyuma maana alikuwa kakalia mpini
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mbona unamuonea hivyoNhHahaa jamaa anawashinda buku saba kiakili kwa achano sanifu la 200.50
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuwa namtilia maanani sana msanii huyu awali lakini baada ya kumsikiliza nimegundua ana akili sana tofauti na wanavyo mchukulia watu wengi.
Mwishoni mwa mahojiano yake katoa ushauri Kwa Makonda aache kujiingiza mambo mengi yasiyo maana ikiwemo wasanii Kwa kutaka wamsifie wakati wao wanataka hela tuu.
Ajikite mambo ya maana ikiwamo kuboresha hata Segerea kwani yeye au hata Magufuli kama kuna waliyotenda Kwa makosa sasa wajue wataenda kule hivyo waboreshe makazi yao.
Ujumbe murua, Ila waweza kubezwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kiuhalisia bangi ni dawaNhHahaa jamaa anawashinda buku saba kiakili kwa achano sanifu la 200.50
Sent using Jamii Forums mobile app
tatzo ni kuamin kwamba wote watakaoshika madaraka watakua na akili kama za Magu au za kwako. kwa taarifa yako katiba inabadilika sio msaafu ule!! mimi nikishika madaraka cha kwanza ni kuondoa kinga ya viongoz kutoshitakiwa!!Sasa Makonda aende segerea kwa kosa lipi? Magufuli aende segerea kwa katiba ipi? hahahaha leo chid benz kawa kipenzi cha chadema
Kinachoangaliwa ni Ujumbe sio mtuHivi uliyeweka uzi huu umejaribu kufikiri hata kwa sekunde??
Mtu kama huyu unamuona wa maana saana kisa tu kamtukana mtu fulani!! Mtakesha!! Leo lissu kapuni leo chidi benzi naye atafunikwa kama ya membe hawa ndio wapinzani!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndg!!! Ujumbe unaendana na mtu aliyeutoa!!! Ndio maana kuna baadhi ya ujumbe hauwezi kutolewa na mtu fulani kutegemeana na umri au kazi anayoifanya!!!! Au hali yake ya maisha
Sio kweli wewe tu una chuki na Chid ndio maana huoni zuri toka kwake.Angesifia CCM ndio ungemuelewa.Kaongea very neutral Ila ni Ujumbe wenye ukweli Fulani lkn we unaona kama jamaa chizi hivyo na Ujumbe wake haufai.Unafikiri kuna mtu aliwahi fikiria kuwa Rugemalira na Singh Seth watakuwa mahabusu siku moja?Ndg!!! Ujumbe unaendana na mtu aliyeutoa!!! Ndio maana kuna baadhi ya ujumbe hauwezi kutolewa na mtu fulani kutegemeana na umri au kazi anayoifanya!!!! Au hali yake ya maisha
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Stupid kabisaaNdg!!! Ujumbe unaendana na mtu aliyeutoa!!! Ndio maana kuna baadhi ya ujumbe hauwezi kutolewa na mtu fulani kutegemeana na umri au kazi anayoifanya!!!! Au hali yake ya maisha
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Crap!Sasa Makonda aende segerea kwa kosa lipi? Magufuli aende segerea kwa katiba ipi? hahahaha leo chid benz kawa kipenzi cha chadema
Unafuata reasoning ya mjinga angalia anakuvuta kwake!