Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,443
- 6,986
Huyu mnayemsifu leo siku akikutwa tena na ngada ndio mtakuja hapa kusema ameonewa!
Nenda kafie mbele Sho.ga uliyekubuhu wewe! Unafikiri uko Badoo hapa!?Ama kweli nchi imejaa vipaji vingi mno! Ona kama hiki cha ujinga ulio tamalaki
We jamaa una akili sana sema unapochangia jukwaa la siasa unakuwa ka jinga flani hiviNenda kafie mbele Sho.ga uliyekubuhu wewe! Unafikiri uko Badoo hapa!?
Ule sio ujasiri amejikatia tamaa hapa nje anapaona pabaya anataka akae ndani ili apumzike!Ogopa kupigana na mtu aliyekwisha kunywa diazinon!Na si ngumu kwa kweli. Maana nadhani bado ni teja.
Na kumbambikia si ngumu pia.
Ila kama NGADA inaleta akili, mtizamo chanya na ujasiri kama aliouonyesha chidi benzi basi namimi 'naitaka'
Una haki ya kuandika Utumbo. Ukizingatia bundle unagongea kwa WiFi ya shemeji. Jiachie kamanda. Omba Mungu dada asibugi stepu maana utapata Tabu sanaaa.We jamaa una akili sana sema unapochangia jukwaa la siasa unakuwa ka jinga flani hivi
Sent using Sukhoi Su-57
Na Makonda je?Shida yenu mnajua kuandika sana kuliko kufikiri... sasa hao uliowataja na katiba zao na yetu zina fanana? yetu haitoi mwanaya kwa Rais kushitakiwa hata akimaliza muda wake...hata ikibadilishwa maana yake hata yeye haito muhusu baadala yake sheria itaanzia pale ilipobadilishwa
Naona siku hizi tafsiri ya matusi imebadilikaHivi uliyeweka uzi huu umejaribu kufikiri hata kwa sekunde??
Mtu kama huyu unamuona wa maana saana kisa tu kamtukana mtu fulani!! Mtakesha!! Leo lissu kapuni leo chidi benzi naye atafunikwa kama ya membe hawa ndio wapinzani!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umechukia kuambiwa ukweli? Ubwege hauna nafasi tenaNenda kafie mbele Sho.ga uliyekubuhu wewe! Unafikiri uko Badoo hapa!?
Mwambie mbwiga huyo!We jamaa una akili sana sema unapochangia jukwaa la siasa unakuwa ka jinga flani hivi
Sent using Sukhoi Su-57
Nothing personal, you have the right to be insane.Una haki ya kuandika Utumbo. Ukizingatia bundle unagongea kwa WiFi ya shemeji. Jiachie kamanda. Omba Mungu dada asibugi stepu maana utapata Tabu sanaaa.
......Mungu mbariki Chid Benz
Kama haijanivuta CCM atanivuta huyo? Hapa tunajadili hoja yake hatumjadili mleta hoja, na hili ndiyo kosa kubwa la maccm, ndiyo maana hata bungeni wapo wengi lakini muda mwingi wanapoteza kuwajadili wabunge wa upinzani badala ya kujibu hoja zao. Na hata suala la Lissu Serikali nzima inapambana na Lissu badala ya kujibu hoja zake.
Mkuu umenifanya nicheke kwa sauti mbele ya kadamnasiHata SAA mbovu kuna wakati inasema ukweli.