Tetesi: Msanii Alikiba ampa talaka tatu mkewe chanzo kikiwa ni ndugu na kurogana

Yani mwanaume utafute pesa kwa jasho halafu badala ya kuitumia kwa utaratibu mzuri badala yako unapigwa mzinga wa kufa mtu kirahisi tu
 
#UDAKU Ngojeni sasa niwaambieni ukweli kabisa kuhusu ndoa ya kiba na Amina kuvunjika, nimeshapata mtu wa ndani kabisa ninaemuamini akanipa habari kamili, kuna sababu 2 tu za ndoa kuvunjika
.
Bwana wee sababu ya KWANZA ambayo pia ndio sababu kubwa ya ndoa hii kuvunjika ni nyumba ya gorofa ilioko tabata, Amina anataka nyumba hiyo ya ghorofa iandikwe jina la mtoto wake, anasema ndio dini inavyo sema eti mtoto anaetambulika ni mtoto wa ndoa, sasa kiba ye hataki na badala yake kamuandika mtoto wake yule mkubwa, ndio ugomvi ulipoanzia hapo
.
Basi mara muda sio mrefu Yule mtoto mkubwa wa kiba ambae ameandikwa kwenye ile nyumba akaanza kuumwa mnooo, mbaya zaidi anaumwa magonjwa ambayo ata hayaeleweki, unaambiwa mtoto mara anaanguka, mara anapandisha hata shule wakamuachisha mtoto, sasa mama kiba pamoja na kiba kufuatilia KUMBE amina ndio anamroga mtoto anataka amuondoe duniani ili mwanae arithi mali mpo hapo
.
Sababu ya PILI ndoa hiyo kuvunjika ni UCHOYO, unaambiwa hawapendi ndugu wa mume hata kidogo, unaambiwa siku akija mama yake mzazi au ndugu zake ataamka asubuhi, ataandaa chai nzito, wageni watakunywa vzur, mchana ataandaaa watakula vzuri, usiku yaani wageni anawakarimu vizuri mnoo, akija mama kiba au ndugu wa kiba akishawasalimia tu huyo anakimbia chumbani kujifungia, mama kiba atajipikia chakula mwenyewe atajihangaikia kila kitu mwenyewe, halafu mnaoshabikia mnasema humo ndani anakaa na mama kiba kumbe ni uongo, mama kiba wala hakai humo ye anaendaga kusalimia tu, mama wa watu anaishi kariakoo kwa taarifa yenu, japo huwa anaenda kila weekend kuwapeleka wajukuu zake wakasalimie
.
Halafu hana mapenzi na watoto wa kiba, yaani hana tyme nao, hata mtoto akiwa anaumwa hata kumcare hakuna sasa huyo ni mwanamke wa kuanae kweli ???
Lakini ile ndoa ilifungwa kiislam haswaa

Na Waislam huwa wanajivunia kuwa wana taratibu safi kabisa ya kutatua migogoro ya NDOA na MIRATHI kidini.

Usiku wa kufungwa ndoa ile kulikuwa na Masheikh wengi.

Vipi sasa hapa Viongozi wa dini wanafanyaje na hizo talaka?
 
Yooo....!!!!! talaka 3 mzee hapo Kiba naona kama umefeli kidogo, kwasababu hizi kama zina ukwelii asee umekosea mzee Harusi yako ilikua ni ya gharama saana ndio matatizo yapo lakin sio kwa talaka 3
 
Yooo....!!!!! talaka 3 mzee hapo Kiba naona kama umefeli kidogo, kwasababu hizi kama zina ukwelii asee umekosea mzee Harusi yako ilikua ni ya gharama saana ndio matatizo yapo lakin sio kwa talaka 3
Talaka tatu maana yake hawezi kumrudia tena mpaka aolewe na mwanaume mwingine kisha aachike ndio anaweza kumuoa tena vinginevyo kama anahitaji kumrudia tena mkewe hataweza
 
Ndio tatizo la ndoa za kishwahili mnapishana na ndugu kwenye korido Kama nzi. Afrika kuchomoka bado Sana unaweza kuishi na ndugu zaidi ya watano nyumba moja,Dada wa kazi anafanya kazi ya kupika kuanzia asubuhi Hadi usiku utadhan ni mpisha wa hotel.mnapika chakula kingi Hadi kinakosa ladha .
Ujamaa Ujamaa Ujamaa ndio unaotumaliza,tena mwingine kazaa huko analeta mtoto umlee yeye pamoja na mwanae
 
Kama ni ya kweli haya basi Dawa apo ni kiba kukubali kufukuza hao ndugu walio jazana uko ndani kwake.. awataftie pahala pengine lasivyo akubali kumpoteza mkewe

Hii tabia ya kulundikana Ndugu kwenye nyumba moja ndio hii sasa..utaakaje na mama mzazi wadogo zako ata kaka zako? kisa wewe tu ndio umetoka kimaisha na unakuta limtu limeridhika linakaa kwa kaka yake au dada yake..muda mwingine watz tuache hii tabia ya kung'ang'ania kwa ndugu bora kwenda kutafuta cha kwako utakaa kwa kaka au mdogo ako akisha oa ni balaa linafata ona hii

alafu hii tabia ipo sana ukanda wa mwambao na Zanzibar wenzetu waislam wana hii tabia sana jitu zima bado lipo kwa wazazi au ndugu kisa mambo safi hivi mtu huoni ata aibu??

Vijana tupige kazi tuache mtelezo..
 
#UDAKU Ngojeni sasa niwaambieni ukweli kabisa kuhusu ndoa ya kiba na Amina kuvunjika, nimeshapata mtu wa ndani kabisa ninaemuamini akanipa habari kamili, kuna sababu 2 tu za ndoa kuvunjika
.
Bwana wee sababu ya KWANZA ambayo pia ndio sababu kubwa ya ndoa hii kuvunjika ni nyumba ya gorofa ilioko tabata, Amina anataka nyumba hiyo ya ghorofa iandikwe jina la mtoto wake, anasema ndio dini inavyo sema eti mtoto anaetambulika ni mtoto wa ndoa, sasa kiba ye hataki na badala yake kamuandika mtoto wake yule mkubwa, ndio ugomvi ulipoanzia hapo
.
Basi mara muda sio mrefu Yule mtoto mkubwa wa kiba ambae ameandikwa kwenye ile nyumba akaanza kuumwa mnooo, mbaya zaidi anaumwa magonjwa ambayo ata hayaeleweki, unaambiwa mtoto mara anaanguka, mara anapandisha hata shule wakamuachisha mtoto, sasa mama kiba pamoja na kiba kufuatilia KUMBE amina ndio anamroga mtoto anataka amuondoe duniani ili mwanae arithi mali mpo hapo
.
Sababu ya PILI ndoa hiyo kuvunjika ni UCHOYO, unaambiwa hawapendi ndugu wa mume hata kidogo, unaambiwa siku akija mama yake mzazi au ndugu zake ataamka asubuhi, ataandaa chai nzito, wageni watakunywa vzur, mchana ataandaaa watakula vzuri, usiku yaani wageni anawakarimu vizuri mnoo, akija mama kiba au ndugu wa kiba akishawasalimia tu huyo anakimbia chumbani kujifungia, mama kiba atajipikia chakula mwenyewe atajihangaikia kila kitu mwenyewe, halafu mnaoshabikia mnasema humo ndani anakaa na mama kiba kumbe ni uongo, mama kiba wala hakai humo ye anaendaga kusalimia tu, mama wa watu anaishi kariakoo kwa taarifa yenu, japo huwa anaenda kila weekend kuwapeleka wajukuu zake wakasalimie
.
Halafu hana mapenzi na watoto wa kiba, yaani hana tyme nao, hata mtoto akiwa anaumwa hata kumcare hakuna sasa huyo ni mwanamke wa kuanae kweli ???
Mamaeeee kenya sioi nshaona wana pepo la mali hii ni hatari wakenya sio poa
 
Kama ni kweli basi nimemdharau sana Ally Kiba,Star mkubwa kama yeye halafu anaishi kifala namna hiyo maana yake nini?
Daima huwa nawadharau sana mastaa wa kibongo,hawana tofauti na watu ambao hawakwenda shule!
Unamaanisha unawadharau watu wote wasioenda shule pia? Acha dharau mzee Mr Arabic World.
 
Back
Top Bottom