AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Msanii wa Kimataifa kutokea nchini Tanzania, ambaye pia ni mshindi wa Tuzo ya MTVEMA2016 @officialalikiba, Ameshinda tena tuzo kubwa ya nchini Uingereza maarafu kama [HASHTAG]#befftaawards[/HASHTAG] za Uk kama Best International African Act (Msanii bora wa kimataifa kutokea Africa.
Katika Category hiyo @officialAlikiba alikuwa akishindana pamoja na miamba mingine ya mziki Africa kama Wizkid, Casper Nyovest, Diamond platinumz, Patroranking, Korede bello, Yemi Alade na Stanley enow wa Ghana.
Kwa Mujibu wa meneja mkuu wa Alikiba, Madam @sevenMosha amesema kwamba "Tangia tarehe 28 October Alikiba alikuwa ametangazwa mshindi wa Tuzo hizo kubwa katika kipengere cha "Best International African Act" sema kutokana na ratiba kuingiliana hawakuweza kwenda kuhudhuria tukio hilo la ugawaji wa tuzo, Ila sasa wameshafanya mawasiliano na waandaaji wa tuzo hizo na pindi tuzo hizo zitakapowasili, watatangaza rasmi kupitia media mbalimbali pamoja na social media.
Written by @
Katika Category hiyo @officialAlikiba alikuwa akishindana pamoja na miamba mingine ya mziki Africa kama Wizkid, Casper Nyovest, Diamond platinumz, Patroranking, Korede bello, Yemi Alade na Stanley enow wa Ghana.
Kwa Mujibu wa meneja mkuu wa Alikiba, Madam @sevenMosha amesema kwamba "Tangia tarehe 28 October Alikiba alikuwa ametangazwa mshindi wa Tuzo hizo kubwa katika kipengere cha "Best International African Act" sema kutokana na ratiba kuingiliana hawakuweza kwenda kuhudhuria tukio hilo la ugawaji wa tuzo, Ila sasa wameshafanya mawasiliano na waandaaji wa tuzo hizo na pindi tuzo hizo zitakapowasili, watatangaza rasmi kupitia media mbalimbali pamoja na social media.
Written by @