N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
Nimekuwa nikisoma kwenye machapisho mengi hasa magazeti ya kila siku kuna makosa sana ya uandishi wa neno hili BAADAYE. Wengi huandika BAADAE hayo kwa mujibu wa kamusi ya TUKI ni makosa. Neno sahihi ni 'Baadaye'.
Poleni na Msiba ndugu watanzania wenzangu.
Poleni na Msiba ndugu watanzania wenzangu.