Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,551
Utakuwa unamuonea bure kijana. Yeye alikuwa ni mtu tuu wa kutumwa kama kikaragosi. Mhusika mwenyewe yaani sterling ni yule naniliu, sasa kwa vile kikawaida kwenye movie sterling hauwawi, ikitokea sterling amekufa kweli, huo ndio mwisho wa hiyo movie, lakini kwa vile sterling kafa, tusitake kuwauwa na wale wasaidizi wake wote, let them keep playing roles kwenye movies nyingine and you never know one day one of them anaweza na yeye kuja kuwa sterling.Hahaha, umeandika yote Ila hiyo sentence ya mwisho umeharibu mzee. Huyo kijana Hana usafi wowote aisee kwanza sababu alikuwa member wa level ya juu sana kwenye Ile gang pia baada ya michezo yake mingi aliyopiga pasi za moja kwa moja na uncle wake....
P