Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanabodi Salam
Niliomba kujua utaratibu ukoje wa msamaha wa tozo za kuingiza gari kwa watumishi wa umma
Pia ni Watumishi gani wa Umma wana msamaha wa kuingiza magari
Karibuni wadau
Wanabodi Salam
Niliomba kujua utaratibu ukoje wa msamaha wa tozo za kuingiza gari kwa watumishi wa umma
Pia ni Watumishi gani wa Umma wana msamaha wa kuingiza magari
Karibuni wadau
Umenena vema mkuu,niliwahi kuhoji kwa wanaojua ni kwa nini mfanya kazi hapewi TIN number kama ilivyo kwa walipa kodi wengine? sikuwahi kupata majibu ya kuridhisha. Nilitamani mfanyakazi awe na namba yake ya utambulisho wa mlipa kodi,mwajiri wake apeleke yale makato yaingizwe kwenye namba ya mfanya kazi husika kama inavyofanyika kwenye mifuko ya hifadhi za jamii, utaratibu wa sasa haumtendei haki mfanyakazi.cha kushangaza bado wabunge wanaopokea pesa nyingi wao bado wanamisamaha hii ya kodi,wapi usawa? wafanyakazi wanalipa kodi nyingi sana,kwa mfano,
1.mshahara wake unalipa kodi ya kichwa ambao hakuna mtu wa kawaida analipa
2.mshahara wake unalipa vat
3.mfanya kazi atakapokwenda kununua kitu dukani,bado analipa kodi juu ya kile kitu alichonunua
Lakini bado ananyimwa haki nyingi kwa mfano hawezi kuingiza gari toka nje lazima alipie kodi na upandishwaji wa madaraja kazini umekuwa ni tabu na hata kama ukipandishwa kupata stahili yake ni mpaka kwa mbinde.
Nchi ya srilanka,kila baada ya miaka 5 mfanyakazi wa serikali anapewa kibali cha kuingiza gari moja bure,sasa ni yeye ataamuwa kukiuza kibali kile ama anunue gari na kuliingiza kwa kutumia kibali husika.
Nini tatizo kwa Tanzania? kwanini wafanyakazi hawapewi msamaha kama ule wanaopewa wabunge?
Umenena vema mkuu,niliwahi kuhoji kwa wanaojua ni kwa nini mfanya kazi hapewi TIN number kama ilivyo kwa walipa kodi wengine? sikuwahi kupata majibu ya kuridhisha. Nilitamani mfanyakazi awe na namba yake ya utambulisho wa mlipa kodi,mwajiri wake apeleke yale makato yaingizwe kwenye namba ya mfanya kazi husika kama inavyofanyika kwenye mifuko ya hifadhi za jamii, utaratibu wa sasa haumtendei haki mfanyakazi.
cha kushangaza bado wabunge wanaopokea pesa nyingi wao bado wanamisamaha hii ya kodi,wapi usawa? wafanyakazi wanalipa kodi nyingi sana,kwa mfano,
1.mshahara wake unalipa kodi ya kichwa ambao hakuna mtu wa kawaida analipa
2.mshahara wake unalipa vat
3.mfanya kazi atakapokwenda kununua kitu dukani,bado analipa kodi juu ya kile kitu alichonunua
Lakini bado ananyimwa haki nyingi kwa mfano hawezi kuingiza gari toka nje lazima alipie kodi na upandishwaji wa madaraja kazini umekuwa ni tabu na hata kama ukipandishwa kupata stahili yake ni mpaka kwa mbinde.
Nchi ya srilanka,kila baada ya miaka 5 mfanyakazi wa serikali anapewa kibali cha kuingiza gari moja bure,sasa ni yeye ataamuwa kukiuza kibali kile ama anunue gari na kuliingiza kwa kutumia kibali husika.
Nini tatizo kwa Tanzania? kwanini wafanyakazi hawapewi msamaha kama ule wanaopewa wabunge?
Mkuu naamini humu jf wapo watu wa kada zote na wanaweza kulifanyia kazi hili kama hawajavaa miwani ya mbaoMkuu nadhani usikate tamaa,hoja yako ipo wazi na nzuri,kwanini hawawapi TIN wafanyakazi ingawaje wanataka kodi nyingi zisizo na maelezo? na kuna baadhi ya wafanyakazi unakuta mshahara mzima unaishia ktk makato ya kodi na hafaidiki na kodi hizo,ni vyema kuanzia sasa mfanyakazi akafaidika na kodi anayokatwa,maana kufanya kazi serikali si kosa na adhabu yake si kukatwa makodi mengi kama ilivyo sasa