msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,066
- 1,136
Unavuta wewe mwenye fikra chafu
Havuti bangi, anakula kama mbuzi anaekula majani
Unavuta wewe mwenye fikra chafu
wewe utakuwa taahira bila shaka. hata kama nasukuma mkokoteni kinakuhusu nini? nimekuambia hiviHizi ni zaid ya ndoto! Eti mna kazi zenu???!!!! Du, kweli ujinga ni janga! Ungekua na kazi usingejibu kama ulivojitanabaisha. Mkuu una akili ndogo mno, na possibly huna mawasiliano kati ya ubongo wako na unachoandika. Endeleeni na kazi zenu mkuu zinazowanyima hata nafasi ya kutafakari maisha yenu ya kawaida!! Unasukuma mkokoteni nini mkuu?
wewe utakuwa taahira bila shaka. hata kama nasukuma mkokoteni kinakuhusu nini? nimekuambia hivi
By Abunuas
sio wote tunaolipwa posho za kuposti kama nyinyi. wengine tunakazi zetu zinazotuweka mjini/kijijini
sasa huelewi nini hapo. you are not of my level kama hata umeshindwa kuelewa sentesi yangu moja tu kuwa tunakazi zetu zinazotuweka mjini hata kama ni kusukuma mikokoteni.
kutokupenda kusoma na kutafakari pia ndilo janga kubwa linalodidimiza uchumi wa Tanzania.Soma Acha uvivu......
funza yake mavi.Absolutely, I'm not of your level coz ur too low, drived with inferiority complex madam. Acha nikuambie kitu kimoja, ambacho hukijui. UJINGA, utakugharimu sana na itakuchukua muda sana kulitambua hili! Huwezi kuishi kwa mihemko kama unavyojionyesha kisha ujigambe kuwa uko juu. Otherwise, you must be out of your mind madam.