Msamaha wa DPP Kwa aliyekuwa DG wa MSD ndugu Laurean Bwanakunu na Hatima ya Wahanga wa Uongozi wake MSD

Kanzastone

JF-Expert Member
Jan 14, 2021
244
355
Ndugu Laurean Bwanakunu alikuwa ni DG wa Bohari ya Dawa - MSD tangu Julai/August, 2015 pamoja na kuwa ujio wake uliacha maswali mengi sana, nafikiri siri ya ujio wa Bwanakunu Bohari ya Dawa anaijua zaidi aliyekuwa Waziri wa Afya kipindi hicho na aliyekuwa Mbunge wa Rufiji ndugu Seif Rashid!!. Chini ya uongozi wa huyu jamaa MSD imepitia changamoto kubwa sana ikiwa ni pamoja na uonevu mwingi sana kwa watumishi.

Mnao tarehe 3.5.2020 Mh. Rais wa wakati huo alitengua uteuzi wa ndugu Bwanakunu kama DG wa MSD. Mnamo tarehe 2.6.2020 ndugu Bwanakunu alishikiliwa na TAKUKURU ili kupisha uchunguzi wa makosa ya; matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia hasara Serikali na mwishowe kupelekwa mahabusu gereza la Keko. Lakini mnamo tarehe 13.5.2021 ndugu Bwanakunu aliachiwa huru na Mahakama ya Kisutu baada ya DPP kutoonyesha nia ya kuendelea na mashitaka dhidi yake.

Sisi watumishi wakati tunafurahi kuachiwa huru kwa Bwanakunu, maana maandiko matakatifu yanasema lieni na wanaolia na furahini na wanaofurahi, kama mamlaka zilivyoona ni vyema huyu bwana aachiwe huru kwa maana labda mashitaka yakikuwa ni kubambikiwa basi ni vizuri pia kwa mamlaka za juu kuwafikilia watumishi waliofukuzwa au kuhamishiwa kwenye mazingira mabovu ya kazi au kutolewa kabisa nje ya MSD wakati wa uongozi wa Bwanakunu kwa uonevu mkubwa sana kwa kuangalia upya mashauli yao.

Enzi za huyu Bwanakunu kwa kushirikiana na genge lake kwa maana ya; Victoria Elangwa aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na bwana Robert Biah Mkaguzi Mkuu wa ndani waliwaharibia sana watumishi utumishi ambapo wengine wameishiwa kufukuzwa kazi kwa makosa ya kubambika, kisa hawamtaki. Kama wamepanga kumtosa mtumishi basi walikuwa wanamwambia Robert Biah aanzishe mchakato na yeye anashika kasi mpaka mtumishi anafukuzwa kazi and then wanamuweka mtu wao. Kwakweli hili genge kilikuwa ni la kishenzi sana. Wamewaumiza watu unnecessarily kwa kusingiziwa kabisa. Ndio maana tunasema huyu Robert Biah na Mwanasheria Mkuu wa MSD hawakutakiwa kuwepo mpaka leo hii kwasababu hawana impact yoyote kwa taasisi na integrity yao ni zeero kabisa wamekalia majungu na fitina tu.

Victoria Elangwa alitumika sana kuchafua mafaili ya watumishi ili kumharibia track record nzuri ya utumishi mtumishi husika kisa Bwanakunu au Victoria mwenyewe hamtaki huyo mtumishi. Hata kama kamati ya uchunguzi imetoa ripoti nzuri dhidi ya mtumishi lakini wao walikuwa wakiibadiridha ili iwe na mtazamo hasi. Hili genge liliumiza sana watumishi.

Tunashukuru sana kuwa huyu Victoria kaondolewa hapa MSD kwakweli tunashukuru. Ila tunaomba Robert Biah na Mwanasheria waondolewa pia. Sisi watumishi tulikuwa tuasikia kuwa huyu Bwanakunu anatembea na Victoria ndio maana wanafanya mambo wanavyotaka, hilo kwetu sio neno lakkni inapofikia mtumishi anaumizwa kutokana na hayo mahusiano yenu hii inakuwa mbaya sana.

Kibaya zaidi, ili kuwaumiza zaidi hao watumishi mbali ya makosa ya kubambikiwa pia huyu Bwanakunu na Victoria Elangwa waliamua kui-corrupt Bodi ya Wadhamini ya MSD ambayo ndio mamlaka ya rufaa ya watumishi wengi wa MSD kwa kuifanya Bodi izikatae kuzisikiliza rufaa za hao watumishi kwasababu Bwanakunu na genge lake waliju tu kuwa wageshindwashindwa. Nakumbuka jamaa zangu fulani wa kwenye kanda rufaa zao zilikataliwa kusikilizwa na Bodi for no apparent reason!

Wakati wa uongozi wa Bwanakunu na genge lake walijitahidi sana kufanya OBSTRUCTION OF JUSTICE ikitokea mtumishi anataka apate haki yake. Bodi ya Wadhamini chini ya uenyekiti wa Fatuma Mrisho ime-prove failure sana, hata wajumbe wenyewe utendaji kazi wao ni zeero kabisa na ndio maana huyu afande anawaendesha sana. Kumbuka kuna miradi afande kaianzisha bila hata approval ya Bodi, sasa hivi afande bada ya kuona kakosea taratibu ndo anakimbizana na RETROSPECTIVE APOROVAL ya Bodi, shame on them😓😓😓

Kwa maana hivyo basi, kama mamlaka ziliona kuwa huyu Bwanakunu kabambikwa makosa, basi ni vyema pia kwa mamlaka za juu pia kuyapitia upya mafaili ya watumishi waliohujumiwa utumishi wao na hili genge la Bwanakunu kwa kushirikiana na Victoria ili haki yao ipatikane, watu walikuwa wakibambikwa makosa ambayo hawakuyafanya kabisa. Pia kuna baadhi ya watumishi wamehamishiwa taasisi zingine kwa njia ya hila kabisa, watumishi ambao walikuwa ni potential kwa taasisi na kubakiza vilaza wapenda majungu kama Frank Nkone, Robert Biah

Kwa sasa ngoja niishie hapa!
 
Japo siwezi jua Kama unavyosema ni kweli, Ila wafanyakazi wengi wa taasisi za Serikali ni wazembe sana. Halafu mnajidaigi kuwa job security kwenu ni kubwa that's why mnafanya hayo mauzembe yenu ya uvivu,wizi,rushwa, lack of commitment, kutokujali customers n.k.
Yaani Issue yangu yoyote ikishahusisha taasisi ya Serikali nakuwa Sina Imani kabisa ya kutekelezewa kwa wakati.
 
Japo siwezi jua Kama unavyosema ni kweli, Ila wafanyakazi wengi wa taasisi za Serikali ni wazembe sana. Halafu mnajidaigi kuwa job security kwenu ni kubwa that's why mnafanya hayo mauzembe yenu ya uvivu,wizi,rushwa, lack of commitment, kutokujali customers n.k.
Yaani Issue yangu yoyote ikishahusisha taasisi ya Serikali nakuwa Sina Imani kabisa ya kutekelezewa kwa wakati.
Kinachozungumzwa hapa ni utawala au uongozi unaofuata sheria ndugu yangu, nothing more nothing less!

Hata kwenye sector binafsi kusipokuwa na ufuataji wa utawala ama uongozi wa sheria basi watu watakuwa wanafukuzwa kila kukicha kwasababu tu mwenye kampuni kasema wewe toka, hatuwezi kufika huko. Huwezi kumuhukumu mtu kwamba ni; mwizi, mvivu, mzembe kama haujafuata taratibu zilizowekwa la sivyo itskuwa ni uonevu.

Tumemzungumzia Bwanakunu kwasababu yeye alikuwa ni mtumishi wa umma lakini alikuwa hafuati sheria, taratibu na kanuni za utumishi wa umma katika kuliendesha shirika. Katika kipindi chake akiwa MSD aliongoza watu kwa husuda, uonevu, kufuata majungu, upendeleo na mpaka akadiliki kutembea na wasichana pamoja na huyo aliekuwa mkurugenzi wa HR.

Ndio maana tunasema, kwakuwa DPP kaamua kumuondolea mashitaka huyu bwana kwamba alibambikwa makosa basi kwa spirit hiyohiyo tunaviomba vyombo vya juu viyachukue mafaili ya wafanyakazi waliohamishwa au kufukuzwa enzi za uongozi wa Bwanakunu Victoria akiwa DHRA wayapitie upya ili waweze kutendewa haki. Tunaamini hivyo kwasababu Bwanakunu na Victoria waliiendesha MSD very unprofessional, mafaili ya wafanyakazi yalichafuliwa very unnecessarily kwa uonevu.

Mimi kuna baadhi ya wafanyakazi nawajua na niko tayali kutoa ushahidi wamefukuzwa ya kubambikwa na ndio Bwanakunu na Victoria wamekuwa wakipambana kufanya OBSTRUCTION OF JUSTICE kwenye Board na ngazi zingine ili hao watu wskose haki yao.

Enough is enough!!!!
 
Hao watumishi waone wanasheria wawape muongozo, kila mtu ana njia yake ya kurudi nyumbani kwao
 
Umeizungumzia Idara ya Utumishi nadhani kuna shida sana kule...Watu wengi huonewa kwa majungu ambayo hubarikiwa na kule utumishi.
 
Hao watumishi waone wanasheria wawape muongozo, kila mtu ana njia yake ya kurudi nyumbani kwao
Umeizungumzia Idara ya Utumishi nadhani kuna shida sana kule...Watu wengi huonewa kwa majungu ambayo hubarikiwa na kule utumishi.
Hao watumishi waone wanasheria wawape muongozo, kila mtu ana njia yake ya kurudi nyumbani kwao

Umeizungumzia Idara ya Utumishi nadhani kuna shida sana kule...Watu wengi huonewa kwa majungu ambayo hubarikiwa na kule utumishi.
Ooh yes, well said my friend!!

Taasisi hizi mbili kwa maana ya Idara ya Utumishi na Tume ya Utumishi ni UOZO mtupu.

1. Idara kuu ya Utumishi inatumika kama uchochoro wa kuwakomoa na kuwaharibia utumishi watu bila sabababu za msingi. Maamuzi ya uonevu ya wakuu wa taasisi yanabarikiwa na Idara ya Utumishi

2. Tume ya Utumishi wa Umma inachelewesha kutoa hukumu za watumishi nje ya sheria, haiko proactive, inahujumu kesi za watumishi kwa kuungana na mwajiri, inakandamiza haki za watumishi
 
Ooh yes, well said my friend!!

Taasisi hizi mbili kwa maana ya Idara ya Utumishi na Tume ya Utumishi ni UOZO mtupu.

1. Idara kuu ya Utumishi inatumika kama uchochoro wa kuwakomoa na kuwaharibia utumishi watu bila sabababu za msingi. Maamuzi ya uonevu ya wakuu wa taasisi yanabarikiwa na Idara ya Utumishi

2. Tume ya Utumishi wa Umma inachelewesha kutoa hukumu za watumishi nje ya sheria, haiko proactive, inahujumu kesi za watumishi kwa kuungana na mwajiri, inakandamiza haki za watumishi
Na katika hili, tunampa ushauli wa bure huyu afande Mkurugenzi Mkuu wa sasa wa MSD akae mbali na hujuma anazoendelea kuzifanya Victoria dhidi ya watumishi waliohamishwa ama kufukuzwa enzi za Bwanakunu pamoja na kwamba Bwanakunu na Victoria wameshaondolewa MSD

Maana kwa tetesi nilizozipata leo koridoni kwenye jengo letu hili eti Victoria bado anaendelea kupambana kwa kuhakikisha hao watumishi hawapati haki yao!

Please be careful afande Gabriel Saul Muhidze ili usije ukakumbana na karma pamoja na kwamba wewe mwenyewe una makandokando mengi sana katika uongozi wako, lakini kuhusu hujuma anazofanya Victoria dhidi ya hao watu achana nae, let justice prevails!!!
 
Na katika hili, tunampa ushauli wa bure huyu afande Mkurugenzi Mkuu wa sasa wa MSD akae mbali na hujuma anazoendelea kuzifanya Victoria dhidi ya watumishi waliohamishwa ama kufukuzwa enzi za Bwanakunu pamoja na kwamba Bwanakunu na Victoria wameshaondolewa MSD

Maana kwa tetesi nilizozipata leo koridoni kwenye jengo letu hili eti Victoria bado anaendelea kupambana kwa kuhakikisha hao watumishi hawapati haki yao!

Please be careful afande Gabriel Saul Muhidze ili usije ukakumbana na karma pamoja na kwamba wewe mwenyewe una makandokando mengi sana katika uongozi wako, lakini kuhusu hujuma anazofanya Victoria dhidi ya hao watu achana nae, let justice prevails!!!
Nakusisitizia tena ndugu afande kuwa achana na umbeya unaopewa na aliyekuwa DHRA dhidi ya watumishi waliowaonea kwa kuwabambikia makosa ambayo ni ya uongo.

Genge hili la uhalifu wa haki za watumishi linalowajumuisha; Bwanakunu, Victoria Elangwa, Robert Biah na Frank Nkone mikono yao imejaa damu za watu kwa jinsi walivyowafanyia ukatili watumishi.

Katika hatua za mwisho kabla ya Bwanakunu kutumbuliwa na mwendazake alikuwa na mpango wa kuwafukuza kazi 3 senior officials kutoka idara tofautitofauti bila hata sababu za mzingi kisa kikubwa ikiwa nikukataa kwa hawa watumishi wema kukubaliana na dhana yake ya kusifu na kuabudu ikiwa ni pamoja na kukataa kujihusisha na majungu kama alivyotaka Bwanakunu na Victoria.

😆😆😆 nakumbuka ki-Frank Nkone kilivyokuwa kinahangaika sana kuwafuatilia hao watumishi ili aweze kupeleka ripoti mbaya juu yao, majina ya hao watumishi tunayo, ila tunaweza kuyatoa mbele ya safari kama itahitajika kwa ushahidi.

Kwahiyo afande waogope hao watu kama ukoma!!
 
Back
Top Bottom