Emoj
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 837
- 1,282
Habari wapendwa.Katika maisha yetu naamini kwa namna moja ama nyingine kuna waliotukwanza au tuliowakwanza. Leo nataka tuwatangazie MSAMAHA. huenda ikawa ni rafiki/ X wako/ mume/mke/Jirani yako/wazazi wako/ndugu au mtu yeyote yule aliyepelekea moyo wako kujeruhika.
Ni kweli umeugua sana na vidonda alivyokuachia ,ni kweli amekukwaza sana but Today tutue hiyo mizigo tumeshikilia mioyoni mwetu.Inatosha sasa.
Najua ni ngumu kusamehe but Mungu/Allah ni mwamnifu mwombe tu akupe moyo wa kusamehe huyo aliyekukosea.
Tukija kwa wakristo(waisilamu naomba mnisaidie pia maandiko ya Quran yanayotutaka tuwasamehe waliotukosea) Biblia inasema "Utusamehe makosa yetu kama nasi tunavyowasamehe waliotukosea" na pia inasema "Mkiwasamehe waliowakosea nanyi mtasamehewa makosa yenu. Means kama mkristo usipo samehe, usipo muachilia huyo mtu aliyekukosea moyoni mwako maana yake na wewe Hutosamehewa na Mungu.
Nawasihi wote ndugu zangu SAMEHE ALIYEKUKOSEA.mpigie simu au mtafute alipo mtangazie msamaha.kama ikiwezekana pateni soda pamoja. Mwambie nimekusamehe/Nisamehe.na kama ulishawahi kumkosea mtu pls and pls mtafute mwombe msamaha hata kwa message, mpigie Omba msamaha.Najua unawaza sasa atanionaje !! si ataona najipendekeza kwake??.Mpendwa Whatever atakavyokufikiria but wewe umetengeneza na yeye.
Lets love one another. dunia hii tunapita.hakuna mbabe kwa hilo.
Mbarikiwe sana na kwa wale waislamu Ramadhan Kareem.
Ni kweli umeugua sana na vidonda alivyokuachia ,ni kweli amekukwaza sana but Today tutue hiyo mizigo tumeshikilia mioyoni mwetu.Inatosha sasa.
Najua ni ngumu kusamehe but Mungu/Allah ni mwamnifu mwombe tu akupe moyo wa kusamehe huyo aliyekukosea.
Tukija kwa wakristo(waisilamu naomba mnisaidie pia maandiko ya Quran yanayotutaka tuwasamehe waliotukosea) Biblia inasema "Utusamehe makosa yetu kama nasi tunavyowasamehe waliotukosea" na pia inasema "Mkiwasamehe waliowakosea nanyi mtasamehewa makosa yenu. Means kama mkristo usipo samehe, usipo muachilia huyo mtu aliyekukosea moyoni mwako maana yake na wewe Hutosamehewa na Mungu.
Nawasihi wote ndugu zangu SAMEHE ALIYEKUKOSEA.mpigie simu au mtafute alipo mtangazie msamaha.kama ikiwezekana pateni soda pamoja. Mwambie nimekusamehe/Nisamehe.na kama ulishawahi kumkosea mtu pls and pls mtafute mwombe msamaha hata kwa message, mpigie Omba msamaha.Najua unawaza sasa atanionaje !! si ataona najipendekeza kwake??.Mpendwa Whatever atakavyokufikiria but wewe umetengeneza na yeye.
Lets love one another. dunia hii tunapita.hakuna mbabe kwa hilo.
Mbarikiwe sana na kwa wale waislamu Ramadhan Kareem.