Msajili wa vyama vya siasa simamia sheria bila uoga

CalvinKimaro

JF-Expert Member
Sep 11, 2017
244
312
Msajili simamia sheria bila uoga

Nimeipitia sheria mpya ya usajili vyama vya siasa. Sheria hii inampa msajili mamlaka ya kusimamia chaguzi ndani ya vyama ili kuhakikisha haki imetendeka, taratibu za kupata viongozi zimefuatwa na demokrasia imezingatiwa katika kupata viongozi.

Kwa utaratibu huu wa kuchukuliana form na kuteua anayefaa kugombea nafasi fulani ni vyema msajili aufahamishe umma kama ni sahihi? Asipofanya hivyo mwakani tutaona mambo ya ajabu mno.

Ikithibitika ni kinyume cha mahitaji ya Sheria basi Msajili asisite kutengua matokeo. Nahisi wahusika watadai msajili kawaingilia! Ukweli ni kuwa wanayataka. Hili likiachwa lizoeleke ni hatari mno. Hivi 2015 tungewapa chadema kushika dola si ingekuwa balaa? Rais angetangaza TBC tumemshauri "fulani" agombee ubunge Hai na "fulani" agombee ubunge Rombo. Ewe Mungu tunakushukuru hatukufanya makosa 2015, tungejuta.

Nina hakika ingekuwa Mwenyekiti wa CCM ndiye kachukuliwa form au ndiye katangaza fulani achukue form kuomba umakamu hawa hawa CHADEMA wangeenda hadi BBC na EU kulalamika.

Namshauri Msajili asimamie matakwa ya sheria bila kuona huruma wala soni. Haiwezekani tuwe na chama kinachodai ni cha kidemokrasia lakini uongozi unapatikana kidikteta.
 
Naomba fomu ya kugombea uenyekiti wa CCM kwanza. Pili nitajie chama chochote kilichowahi kufanya chaguzi za wazi za viongozi ngazi zote mpaka mwenyekiti hapa Tanzania.

Sote tuwapongeze CHADEMA kwa ujasiri na umakini wa kuendesha chaguzi halali zilizojaa demokrasia ya mfano, katika ngazi zote bila kumwogopa yeyote.

Hakika CHADEMA kimebakia chama cha demokrasia pekee nchini. Kimeizidi mpaka viwango vya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayovunjwa kila siku na serikali ya CCM.
 
Hahaha vyama vipo vingi sana, kule kwa Dovutwa UPDP nako kuna mtifuano, Dovutwa kafukuzwa hataki badala yake kaitisha uchaguzi December.
Mwambie msajili awahi kabla hawaja vunja katiba.
 
Kule hawafanyi uchaguzi, mwenyekiti anapatikana by default. Ukiwa rais tayari ni mwenyekiti.
Huo wa kumpata kiongozi wa chama by default ni udikteta kamili. Haiwezekani mtu apate madaraka by default wakati urais ni matakwa ya watanzania wote. Tuambiwe endapo chama hakijatoa rais huyo anayepewa by default anapatikanaje? Na fomu yake ya kugombea ipoje?
 
Huo wa kumpata kiongozi wa chama by default ni udikteta kamili. Haiwezekani mtu apate madaraka by default wakati urais ni matakwa ya watanzania wote. Tuambiwe endapo chama hakijatoa rais huyo anayepewa by default anapatikanaje? Na fomu yake ya kugombea ipoje?
Hajawahi kutokea wao wasitoe rais, hivyo ILANI yao inaweza ikawa imesema itafute.

Lakini iko hivyo kwao by default rais ndiye mwenyekiti.
 
Msajili simamia sheria bila uoga

Nina hakika ingekuwa Mwenyekiti wa CCM ndiye kachukuliwa form au ndiye katangaza fulani achukue form kuomba umakamu hawa hawa CHADEMA wangeenda hadi BBC na EU kulalamika.

Yaani wewe, katika ukiukwaji wa sheria unaofanywa na vyama vya siasa umeona hili tu la Chadema, ya CCM wala huyaoni? Mara ngapi umeandika humu JF kumshauri Msajiri asiwe mwoga kusimamia sheria pale ambapo ni CCM inakiuka, kwa kuwa ukiukaji wa CCM ni wa mara nyingi kuliko huo wa Chadema au upinzani. Au hujui hata Raisi kukiuka sheria za vyama ni chama chake kukiuka sheria za vyama?

Kwa tarifa yako, Msajiri anajua sana haya unayoyasema, ndio maana vitu vingine anavifumbia macho ili asionekane mnafiki.

Sasa basi wewe, acha unafiki.
 
Msajili simamia sheria bila uoga

Nimeipitia sheria mpya ya usajili vyama vya siasa. Sheria hii inampa msajili mamlaka ya kusimamia chaguzi ndani ya vyama ili kuhakikisha haki imetendeka, taratibu za kupata viongozi zimefuatwa na demokrasia imezingatiwa katika kupata viongozi.

Kwa utaratibu huu wa kuchukuliana form na kuteua anayefaa kugombea nafasi fulani ni vyema msajili aufahamishe umma kama ni sahihi? Asipofanya hivyo mwakani tutaona mambo ya ajabu mno.

Ikithibitika ni kinyume cha mahitaji ya Sheria basi Msajili asisite kutengua matokeo. Nahisi wahusika watadai msajili kawaingilia! Ukweli ni kuwa wanayataka. Hili likiachwa lizoeleke ni hatari mno. Hivi 2015 tungewapa chadema kushika dola si ingekuwa balaa? Rais angetangaza TBC tumemshauri "fulani" agombee ubunge Hai na "fulani" agombee ubunge Rombo. Ewe Mungu tunakushukuru hatukufanya makosa 2015, tungejuta.

Nina hakika ingekuwa Mwenyekiti wa CCM ndiye kachukuliwa form au ndiye katangaza fulani achukue form kuomba umakamu hawa hawa CHADEMA wangeenda hadi BBC na EU kulalamika.

Namshauri Msajili asimamie matakwa ya sheria bila kuona huruma wala soni. Haiwezekani tuwe na chama kinachodai ni cha kidemokrasia lakini uongozi unapatikana kidikteta.

Hana sheria yoyote anasimamia huyo msajili zaidi ya kuwa puppet was ccm. Mwambie asisimamie sheria tu, bali atekeleze alichotumwa na ccm cha kuifuta cdm.
 
Msajili yupi unamzungumzia huyu aliyepigwa mkwara na Bashiru kuwa atamfukuza kazi akienda kwenye kikao cha mabalozi?
 
Msajili simamia sheria bila uoga

Nimeipitia sheria mpya ya usajili vyama vya siasa. Sheria hii inampa msajili mamlaka ya kusimamia chaguzi ndani ya vyama ili kuhakikisha haki imetendeka, taratibu za kupata viongozi zimefuatwa na demokrasia imezingatiwa katika kupata viongozi.

Kwa utaratibu huu wa kuchukuliana form na kuteua anayefaa kugombea nafasi fulani ni vyema msajili aufahamishe umma kama ni sahihi? Asipofanya hivyo mwakani tutaona mambo ya ajabu mno.

Ikithibitika ni kinyume cha mahitaji ya Sheria basi Msajili asisite kutengua matokeo. Nahisi wahusika watadai msajili kawaingilia! Ukweli ni kuwa wanayataka. Hili likiachwa lizoeleke ni hatari mno. Hivi 2015 tungewapa chadema kushika dola si ingekuwa balaa? Rais angetangaza TBC tumemshauri "fulani" agombee ubunge Hai na "fulani" agombee ubunge Rombo. Ewe Mungu tunakushukuru hatukufanya makosa 2015, tungejuta.

Nina hakika ingekuwa Mwenyekiti wa CCM ndiye kachukuliwa form au ndiye katangaza fulani achukue form kuomba umakamu hawa hawa CHADEMA wangeenda hadi BBC na EU kulalamika.

Namshauri Msajili asimamie matakwa ya sheria bila kuona huruma wala soni. Haiwezekani tuwe na chama kinachodai ni cha kidemokrasia lakini uongozi unapatikana kidikteta.
Rubbish
 
Kwani hukusikia Maguful alimshauri Msanii Harmonize akagombee ubunge wa Tandahimba kisa kaimba wimbo wa kumsifia?
Mbona ulikaa kimya hapo Magu kusema vile tena kwenye jimbo lenye mbunge wa ccm
Msajili simamia sheria bila uoga

Nimeipitia sheria mpya ya usajili vyama vya siasa. Sheria hii inampa msajili mamlaka ya kusimamia chaguzi ndani ya vyama ili kuhakikisha haki imetendeka, taratibu za kupata viongozi zimefuatwa na demokrasia imezingatiwa katika kupata viongozi.

Kwa utaratibu huu wa kuchukuliana form na kuteua anayefaa kugombea nafasi fulani ni vyema msajili aufahamishe umma kama ni sahihi? Asipofanya hivyo mwakani tutaona mambo ya ajabu mno.

Ikithibitika ni kinyume cha mahitaji ya Sheria basi Msajili asisite kutengua matokeo. Nahisi wahusika watadai msajili kawaingilia! Ukweli ni kuwa wanayataka. Hili likiachwa lizoeleke ni hatari mno. Hivi 2015 tungewapa chadema kushika dola si ingekuwa balaa? Rais angetangaza TBC tumemshauri "fulani" agombee ubunge Hai na "fulani" agombee ubunge Rombo. Ewe Mungu tunakushukuru hatukufanya makosa 2015, tungejuta.

Nina hakika ingekuwa Mwenyekiti wa CCM ndiye kachukuliwa form au ndiye katangaza fulani achukue form kuomba umakamu hawa hawa CHADEMA wangeenda hadi BBC na EU kulalamika.

Namshauri Msajili asimamie matakwa ya sheria bila kuona huruma wala soni. Haiwezekani tuwe na chama kinachodai ni cha kidemokrasia lakini uongozi unapatikana kidikteta.
 
wee pimbi wee hukumsikia katibu wa CCM akisema kuwa alimtahadharisha msajili wa vyama akienda kwenye press conference aliokuwa amealikwa na balozi za marekani na UK atamfukuza kazi ndani ya masaa
 
hivi form ya kugombea nafasi ya mwenyekiti wa CCM Taifa zinatoka lini??

mara ya mwosho uchaguzi wa mwenyekiti wa CCM Taifa umefanyika lini??

Tuanzie hapo kwanza.
 
Back
Top Bottom