Kicheba One
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 399
- 194
Leo mwigulu kwa mara nyingine amekagua gwaride la vijana wa ccm huku vijana hao wakiwa na silaha,je wamezipata wapi silaha hizo?je sheria ya vyama vya siasa iko kimyaa katika hili?ingekuwa chadema msajili angekuwa kimyaa?