johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,559
Naibu msajili wa vyama vya siasa mh Hemed amevitaka vyama vya siasa kuzingatia uwiano wa kijinsia katika safu zao za uongozi.
Msajili amesema hayo kwenye mkutano wa viongozi wa vyama vya siasa ulioandaliwa na chama cha wanasheria wanawake.
Chadema na ACT wazalendo wanahusika sana na agizo hili.
Maendeleo hayana vyama!
Msajili amesema hayo kwenye mkutano wa viongozi wa vyama vya siasa ulioandaliwa na chama cha wanasheria wanawake.
Chadema na ACT wazalendo wanahusika sana na agizo hili.
Maendeleo hayana vyama!