Nzelu za bwino
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 376
- 450
Du!
I'm very glad you noticed thatHuyo Mukandara ni CARICATURE wa Vasco Dagama hawezi kuleta mafanikio yoyote kama Mwenyekiti wa huo mkusanyiko!! He is a biased person who cannot serve in that capacity because of his conflict of interest!!! Sio hivyo tu hata katika kazi zake za REDET sio muadilifu hence he is disqualified to chair that group!!!
Given the composition of this group, obtaining an independent electoral commission from their recommendations is a non starter! Mtakuwa mnatafuna fedha ya wananchi bure tu na hamtafikia malengo yanayotegemewa!!!
Nilipoona jina la shehe Ubwabwa nikasema labda ni Kamati ya harusi.Huyu ni miongoni mwa Wajumbe , What a Joke !View attachment 2055062
Bila ushiriki wa chama kubwa la upinzani haya ni maigizo kama uchaguzi ilipoweka serikalini hii haramu madarakaniKikosi kiko dominated na wateule wengi wa rais makada wa CCM kina Mukandara sijui kama kitakuja na mapendekezo ya maana.
Where is Jaji Warioba in this Task Force at least.
Chadema waliona mbali sana kama wangekosea wakahudhuria nao wangekuwa sehemu ya maigizo chini ya Mutungi na Mukandara wangewaambia nini wananchi.
Moja ya maazimio yao ni kuirekebisha Tume ya Uchaguzi, utairekebishaje bila kuibadili ibara ya 74?
=================
74.-(1) Kutakuwa na Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Muungano ambayo itakuwa na wajumbe wafuatao watakaoteuliwa
na Rais:- (a)
(b)
(c)
.
.
(5) Rais aweza kumwondoa katika madaraka Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi kwa sababu ya kushindwa kutekeleza kazi zake, ama kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote, au kwa sababu ya tabia mbaya au kupoteza sifa za kuwa mjumbe.
===============
View attachment 2054988View attachment 2054990View attachment 2054989
View attachment 2055152
Chama kikuu cha upinzani ni kipi au bado upo usingizini .halafu hao wanasaccos huwa mnajiona wajuaji kweli kila kitu mnakijua ninyi kila saa kulalamika mkiitwa kwenye vikao mhim mnatingisha kibiritiiBila ushiriki wa chama kubwa la upinzani haya ni maigizo kama uchaguzi ilipoweka serikalini hii haramu madarakani
Bubu akikaa kimya huwezi kumjua, haya mambo yanakuzidi, potezeaChama kikuu cha upinzani ni kipi au bado upo usingizini .halafu hao wanasaccos huwa mnajiona wajuaji kweli kila kitu mnakijua ninyi kila saa kulalamika mkiitwa kwenye vikao mhim mnatingisha kibiritii
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Jussa hayumo? Wangemwita Lisu na mbatia watu wangeona tupo serious.Watu wanapenda sana kucheza na akili za Watanzania!! Eti Mukandala ni mwenyekiti! Loh! Asalaleee!! "Uchafuzi wa Oktoba 2020 ulikuwa huru na wa haki" - Mukandara Nov 2020. What a joke!
Hao ndio "WADAU WALIOHUDHURIA KKAO" mlitaka awateue watu gani? Ndi madhara haya ukisusa wenzio walaa😂😂😂Huyu msajili wa hovyo kuwahi kutokea. Amewajaza makada kindakindaki wa CCM na watu wengine wasio na vyama. Watatafuna hela tu hamna jipya hapo litalokuja. Wengine wana vyeo vya kuteuliwa hapo watakubali kuhatarisha vibarua vyao kwa kuleta hoja zinazopingana na kiti cha uteuzi? Upupu mtupu.
Si kweli kuwa walioteuliwa wote walihudhuria kikao, kwani Shekhe Alhaji Juma wa Dar alihudhuria?Hao ndio "WADAU WALIOHUDHURIA KKAO" mlitaka awateue watu gani? Ndi madhara haya ukisusa wenzio walaa😂😂😂
Ngombe wewe, Nini kinaenda hapo, takataka tupuChadema hawana jema ,waliitwa wakatoe maoni yao wakasusa Leo Mambo yanaenda wanataka watu wao wawemo chadema ni mang'ombe tu
Ukiangalia vyama vyote vunavyoburuzwa na ccm ktk mchakato huu ni vyama njaa na ambavyo havina ustawi wowote zaidi ya kuishi kwa kuombaomba serikali/ccm tena kwa kupiga magoti.Chadema waliona mbali sana kama wangekosea wakahudhuria nao wangekuwa sehemu ya maigizo chini ya Mutungi na Mukandara wangewaambia nini wananchi.
Halafu ati huyu Mutungi ni jaji... Jaji ambae kutafsiri sheria kwake ni tatizo. Mikutano ya hadhara iko kikatiba, tume ya uchaguzi hadi sasa katiba ina mpa fursa Rais kuteua wajumbe. Leo ati kikosi kazi.. AibuuuYaani hicho kikosi kazi cha msajili kinaenda kufanya kazi gani ambayo sheria na katiba haviko clear?
Sheria na katiba viko wazi kuhusiana na haki za vyama kufanya mikutano ya siasa nchini full stop. Haihitajiki Task force wala nini kwenda kudiscuss rights hizo.
Halafu kwenye mambo ya Siasa ukamuweke Sheikh au Padri kama mjumbe ili iweje?
Huyu ananifanya niuchukie uislamu sana. Japo ni imani yangu
Ngawethu!Hapa Zitto ana kazi nzito maana atahusishwa na maamuzi na mapendekezo yote. Na muelekeo ni kuwa hamna jipya litakalotokana na hii task force.
Amandla...
Ni kweli kabisa, lakini hebu kidogo tuwaache kwanza wajifunue wajikanyage, ili waturahisishie kazi tuliyoianza ya kutafuta katiba mpya.Tume huru ya uchaguzi bila katiba mpya ni sawa na kuziba mashimo ya panya kwa mikate!
Maana Tanzania uchaguzi ni mfumo sio tume tu.Nguvu ya Rais na wateule wake, polisi, TISS, Jeshi, Tume, Tamisemi na wengineo lazima viangaliwe kwa pamoja kupitia katiba mpya.
Hiki kinachoitwa ni Tume huru ya uchaguzi ni changa la macho kwa wajinga ambao ndiyo wengi kwenye hii nchi.