Msajili wa Vyama vya Siasa aunda kikosi kazi

Kikosi kiko dominated na wateule wengi wa rais makada wa CCM kina Mukandara sijui kama kitakuja na mapendekezo ya maana.

Moja ya maazimio yao ni kuirekebisha Tume ya Uchaguzi, utairekebishaje bila kuibadili ibara ya 74?

=================
74.-(1) Kutakuwa na Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Muungano ambayo itakuwa na wajumbe wafuatao watakaoteuliwa
na Rais:
- (a)
(b)
(c)
.
.
(5) Rais aweza kumwondoa katika madaraka Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi kwa sababu ya kushindwa kutekeleza kazi zake, ama kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote, au kwa sababu ya tabia mbaya au kupoteza sifa za kuwa mjumbe.
===============

View attachment 2054988View attachment 2054990View attachment 2054989
Balile. Siku zote yuko fair Sana haogopi
Hamad Rashid. Mwanasiasa makini
Zito.Asitanguliziwe lawama.atafanya kazi nzuri
Mukandara.Sidhani kama katika uzee wake na usomi wake atayumbishwa.Tuwaamini


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hapo wanachokifanya ni kutengeneza dili la kupiga hela tuu... hakuna kitakacho badilika zaidi ya kupoteza rasilimali zetu..
Ivi mwalifu hanaweza kutunga sheria inayomfunga??? CCM hawawezi kuleta badiliko lolote nchi hii yenyenia ya kuaribu maslahi ya kiutawala ...
 
Hapa Zitto ana kazi nzito maana atahusishwa na maamuzi na mapendekezo yote. Na muelekeo ni kuwa hamna jipya litakalotokana na hii task force.

Amandla...
 
Watu wanapenda sana kucheza na akili za Watanzania!! Eti Mukandala ni mwenyekiti! Loh! Asalaleee!! "Uchafuzi wa Oktoba 2020 ulikuwa huru na wa haki" - Mukandara Nov 2020. What a joke!
 
Mukandara.Sidhani kama katika uzee wake na usomi wake atayumbishwa.Tuwaamini

Kama unamuamini Mukandara ni wewe pekeee; mbele ya pua za waadirifu huyo bwana ananuka!!! Hiyo ni kazi inayohitaji intergrity ya hali ya juu na sio mtu mwenye conflict of interest.
 
“Katika utekelezaji wa majukumu hayo kutakuwa na sekretarieti ambapo wajumbe wake watateuliwa na Msajili wa vyama”

Najiuliza ni msajili huyu huyu aliyevuruga uchaguzi uliopita? Another maigizo.
 
Chadema hawana jema ,waliitwa wakatoe maoni yao wakasusa Leo Mambo yanaenda wanataka watu wao wawemo chadema ni mang'ombe tu
Kuna namna wewe huenda ulishawahi kupigwa mti na CHADEMA?
Maana kila mara unataka kuitaja taja CHADEMA kwenye mambo ya kipuuzi ya kiCCM.

Acha upuuzi.
 
Yaani hicho kikosi kazi cha msajili kinaenda kufanya kazi gani ambayo sheria na katiba haviko clear?

Sheria na katiba viko wazi kuhusiana na haki za vyama kufanya mikutano ya siasa nchini full stop. Haihitajiki Task force wala nini kwenda kudiscuss rights hizo.

Halafu kwenye mambo ya Siasa ukamuweke Sheikh au Padri kama mjumbe ili iweje?
Labda watajigeuza kuwa Bunge Maalumu watunge sheria zingine za uchaguzi.
 
Upumbavu wa hali ya juu.. tatizo kiongozi wa nchi anavhukulia vitu poapoa.. tunataka katiba mpya
 
Kikosi kiko dominated na wateule wengi wa rais makada wa CCM kina Mukandara sijui kama kitakuja na mapendekezo ya maana.

Where is Jaji Warioba in this Task Force at least.

Chadema waliona mbali sana kama wangekosea wakahudhuria nao wangekuwa sehemu ya maigizo chini ya Mutungi na Mukandara wangewaambia nini wananchi.

Moja ya maazimio yao ni kuirekebisha Tume ya Uchaguzi, utairekebishaje bila kuibadili ibara ya 74?

=================
74.-(1) Kutakuwa na Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Muungano ambayo itakuwa na wajumbe wafuatao watakaoteuliwa
na Rais:
- (a)
(b)
(c)
.
.
(5) Rais aweza kumwondoa katika madaraka Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi kwa sababu ya kushindwa kutekeleza kazi zake, ama kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote, au kwa sababu ya tabia mbaya au kupoteza sifa za kuwa mjumbe.
===============

View attachment 2054988View attachment 2054990View attachment 2054989
View attachment 2055152
Yaan makada wa ccm ndo kikosi kazi hapo hakuna jipya #tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguz#
 
Back
Top Bottom